Hayati Rais Magufuli ningejua ungekufa ghafla vile ningekuwahi unipe Spirit yako ili niipandikize kwa Marais wajao wa Tanzania

Uzuri ni kwamba sikuwahi kuwa mnafiki juu ya kumkubali JPM since akiwa madarakani na sasa hayupo. Binadamu tuwe na tabia ya kumkubali mtu na mazuri yake pindi angalipo hai ili kumtia moyo kwa kile anachokifanya, kinyume chake wengi waliomvunja moyo JPM leo hii ndio wanamkumbuka kwa kasi.

Ukifuatilia kwa makini utagundua kila alichokifanya JPM kilikuwa ni kwa maslahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, haijalisha kuna watu waliumia, kufilisika, kushuka vyeo au kupoteza madaraka. Badala yake alizushiwa mengi mabaya ili kuonekana hafai.
 

Sikuwahi kufikiri mtu kama wewe unaweza kuwa na maoni and unrealistic kwa kiwango hiki...
 
Mfano wa hayo mengi mabaya aliyozushiwa ni yapi?
 
Mtu safi ni yule anayesema; "mnikumbuke kwa mabaya na mazuri yangu na myapime kwenye mzani yapi ni mengi".---

Hakuna mtu asiyekuwa na hatokuwa na mapungufu lakini kinachopimwa ni hayo mapungufu/makosa na mazuri yapi ni mengi.

Basi orodhesha mapungufu sambamba na mazuri yake unayoyajua ili tuyaweke kwenye mzani wa kibinadanu.
 
Nina mawazo tofauti sana na mtoa mada.
Kwangu kipindi kigamu na cha taabu basi ni hiko cha huyo mnaemsifia.

Ugumu wa maisha Tanzania ulianzia kwakwe.
Hakukua na ajira za kutosha serikalini, mbaya zaidi hta Yale makampuni na taasisi za watu binafsi zilizotoa ajira nyingi zilifungiwa. Hapo wengi walionja joto la jiwe kwa ugumu wa maisha.

fursa za kujiajiri zilikuwa finyu kutokana na mzunguko mdogo wa pesa. Kipindi hicho mtu kuingiza pesa ilikuwa ni ngumu Sana. Ukuaji wa miji na watu kujenga Kama zamani kulipungua kutokana na ugumu wa maisha, ila watu wamesahau tu.

Huyu bwana alipenda kujisifu kwa kile alichokifanya. Yaani kamradi kadogo tu basi ndio inakuwa wimbo wa kumsifu. Miradi mingi Kama UDOM, mwendo Kasi, daraja la kigamboni, barabara za mikoani, shule za kata, na miradi mingi sana haikujengwa kipindi chake lakini ilikuwa kimyaa yaani kama hakukua na kinachoendelea.

Uongozi ule ulikuwa una mambo ya kushangaza Sana. Yaani ajira za walimu 400 zikitangazwa basi inakuwa nayo ni sehemu ya kumsifu yeye. Nilikuja kuuchukia mara baana ya ajira flani kutoka lakini majina karibia nusu kuwa ni majina hewa. Yaani unaona namba ya shule ndio ile ile shule yako tena mwaka ndio ule ule uliomaliza lakini jina la aliepata kazi hata hulijui, tena ile namba yake haikuwepo kwenye list ya waliofanya mtihani pale. Yaani unakuta namba ya mwisho ilikuwa 75 lakini huyo mtu namba yake 508. AU MMESAHAU?.

Ona Sasa hivi mama anavyomwaga ajira, vyuoni, taasisi za umma, serikalini za mitaa na kwengineko tena bila kujisifu, just imagine ajira hizi ndio ingekwa kipindi kile ingekuwaje. Lakini kimya watu wanakula mema ya nchi. Na miradi ya nchi inaendelea.

Haikuwa rahisi kuona hata tangazo la kazi kwenye mfumo wa ajira, lakini ona Sasa? Tunafeli wenyewe tu.
Yule bwana amesababisha vijana wengi wakae mtaani bila kazi tena kwa muda mrefu sana.

Kuna mengi mema ameyafanya lakini si ndio awe rahisi Bora Tanzania.

NB: kwangu kiungozi Mh Samia Ni far more best than him
 
Subiri matusi kutoka kwa wenye mimba za chuki za Magufuli ambazo zimegoma kukomaa. Ila kadili siku zinavyo enda muda unaongea na utofauti unaonekana.

Unategemea nini unapowapa nafasi kubwa watoto wa vigogo ambao mpaka sasa washa dhihirisha hawana uwezo, ila kwa kuwa wazazi wao marafiki zake bado anawang'ang'ania na kuna watu Magu aliwatoa ila kwa sasa amewarudisha.Ila bora anavyo endelea kuwabeba kwani inadhihirisha Magu alikuwa sawa kuwatoa.

Kuna watu wanadai sasa hivi tuna uhuru wa kuongea Magu alikuwa anawabana kuongea, ila cha ajabu.

1.Bei ya mafuta imepanda tokea mwishoni kwa mwaka jana, wapo kimya.

2.Mgao wa maji kimya.

3.Mgao wa umeme kimya.Mgao ambao kila siku wanabadilisha nyimbo mara schedule maintenance, mara vituo chakavu sasa hivi wamejificha kwenye kichaka cha ukame.

4.Tozo kimya.

5.Tozo tuliambiwa zitasaidia mikopo ya wana vyuo,lkn juzi tu mliona huko mjengoni.

6.Kuna lile jiwe lililo nadiwa Dubai ambalo thamani yake ni zaidi ya bil 100,sijui wameishia wapi juzi kilo 53 za dhahabu zimekamata India kimya.

7.Wauza ngada na vijiwe vyao sasa hivi vinarudi kwa kasi.

8.Bei ya chakula imepanda sasa hivi wali maharage ni anasa, watu watakuambia ukame.2020 kulikuwa na ukame, eneo la EA lilikumbwa na nzige ,bahati nzuri huku hawakufika na mvua tulipata japo si nyingi na vilevile kulikuwa na issues ya Uviko dunia nzima bei ya vyakula ilapanda ila kwa Tanzania haikupanda.

Ila si washangai kukaa kwao kimya may be wapo na mabuyu yao ambayo Magu alibana wanalamba asali au may wapo Burundi.
 
Naomba niweke maswali au majibu juu ya hoja zako kama ifuatavyo;

1. Hukuwa Mnafiki na Mwizi
JE! UNAJUA ZILE 1.5T ZIPO WAPI HADI LEO?
JE! UNAJUWA HELA ZILIZOKUWA ZINAKUSANYWA KWA ILE KITU YA "PLI BAGEIN" ZIPO WAPI?

2. Uliiamini zaidi Akili yako Kubwa
NA HAPA NDO ALIHARIBU SANA. KITENDO CHA TANZANIA KUWA NA WATU 61M HALAFU WEWE PEKEE NDO UWE NA AKILI KUBWA NI UJINGA ULIOPITILIZA

3. Hukuwa Muoga wa Kufa / Kuuwawa
ALIPOKUWA ANASEMA MNIOMBEE, UNADHANI ULE HAUKUWA WOGA WA KUFA?

4. Ulikuwa ni Mzalendo wa Vitendo
HAKUWA MZALENDA, NA NDIYO MAANA HAKUMUAMINI MTU NA NDIYO MAANA HADI LEO HATUJUI ZILE 1.5T ZIPO WAPI

5. Hukulea Upumbavu na Upuuzi
UNAKOKUITA KUTOKULEA UPUMBAVU MDO KULITUGHARIMU SANA. FIKIRIA KITUO CHA MAFUTA CHA TOTAL PALE MLIMANI CITY DAR, ALIKIBOMOA NA MWISHO ALILIPA. KILA KITUO CHA MAFUTA MWANZA NACHO HIVYO HIVYO.
ANGALIA ALIOWATUMBUA. WALE WAKURUGENZI WA NSSF BAADA YA KUWATUMBUA, WALILIPWA MISHAHARA MWAKA MZIMA. HIVYO KUFANYA NAFAS MOJA ILIPWE MISHAHARA MIWILI. KWA MTUMBULIWA NA MTEULIWA

6. Hukupenda kuletewa Ripoti za wana Kitengo na Kuridhika nazo bali nawe pia ulikuwa na namna yako ya kuyajua mengi ya Ndani na Nje ya nchi pengine kuliko hata Wao.
NAMNA ALIYOITUMIA KUYAJUA MENGI HAIKUMSAIDIA. NA NDIYO MAANA LEO KUNA MAKOVU AMBAYO WALIOKO MADARAKANI SASA WANAYATIBU.
KUNA PADRE MMOJA, KWENYE KONGAMANO MOJA ALIUZA, HIVI TANZANIA TUNAFANYA UPATANISHO WA NANI KAKOROFISHANA NA NANI?

7. Uliwapenda ( Ulitupenda ) zaidi Masikini ( akina GENTAMYCINE ) kuliko Matajiri Mafisadi walioko wengi sana Serikalini na hata katika Chama chako Tawala.
ALIMCHUKIA MMOJA TU (LOWASA) NA KUMWANZISHIA MAHAKAMA YA MAFISADI..!! ILE MAHAKAMA MPAKA LEO IMEMFUNGA FISADI GANI?

KIFUPI MWANA ALIKUWA SIMBA WA YUDA
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Til.1.5 iko wapi?

Miradi kuongezwa Bei kubwa kukikonuhalisia mfano Bandari ya Tanga mradi bil.30 Dalali kapiga Bil.40.

Ufisadi wa kuweka pigment kwenye mafuta alikuwa anakula Nani?

Upigaji kwenye Makinikia,

Upigaji kwenye bwawa la Nyerere,

Upigaji TanRoada nk


Wizi wote huo ulioweka rekodi ilifanyika ndio spirit unaitaka? Achilia mbali ukatili ,uongo,kusingizia watu,kutukana na kudhalilisha watu na Kukosa akili..

Soma hapo chini πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-125637.png
    175.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220719-125655.png
    49.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221105-124332.png
    96.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220520-171316.jpg
    154.2 KB · Views: 2
  • 1650491737485.png
    69.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220415-072852.jpg
    158.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    61 KB · Views: 2
Kama hakuogopa kuuawa wale wa tulikoambiwa tuende walikuwa wa nini?
Kumbuka nilikuambia harudi tena.
 
Rubbish and Nonsensical.
 
Idiot.
 
Rubbish and Nonsensical.
Hongera πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜…
Usisahau tu kwamba, enzi za JK yale maeskrooo, marichimondi, etc kwa miaka yote 10 ya uraisi wake, zilipigwa 800 na ushee. Lakini huyo unayemsifia, ndani ya miaka 3 tu ya kipindi chake, 1.5 T hazijulikani ziliko..!!
 
Awamu hii naona mumenyooka Sasa mnatapatapa πŸ˜†πŸ˜†.

Mwendazake kupitia Kalemani na kampuni Yao ya GFI walikuwa wanapiga bil.5-7 kila mwezi kabla ya Rais Samia kuwatimua na kumpiga chini Kalemani..

Sikiliza hiyoo πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221119-093841.png
    48.7 KB · Views: 2
  • MBUNGE_SHABIBY_AIBUA_MAMBO_VINASABA_VYA_MAAFUTA,TARURA_NA__RUWASA(360p).mp4
    40.2 MB
ACHENI YAWEH AITWE YAWEH KWA UPENDO WAKE MKUU KWA WATANZANIA, TANZANIA IMEPONA CHINI YA RAIS AWAMU YA SITA, HIS EXCELLENCE SAMIA SULUHU HASAAN,
Kwa yesu kristo kila goti litapigwa na mwovu ataondolewa kwa utukufu wa aliye juu na mwenye nguvu zote, Amen.
 

Wewe akili huna ndio maana unaangaika OVER
 

Tuachie mambo yako ya kufikilika tulikua tunayaona mema yake na tukipima na ayo unayoyasema hatuoni wa kufananisha naye kwani sasa ivi ivo vitu vilivyotulia ni vitu gani tozo , mala maji hakuna , mala umeme hakuna au unadhani kila mtu ni muahiliwa kwenye ili taifa acha udhandiki Over
 
Ukituliza kichwa una andika mambo ya maana sana πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…