Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

A quick update…

Kuna mvutano mkubwa katika familia juu ya posa ya Naseeb kwa Zuhura, familia yote ya Naseeb haimtaki kabisa Zuhura.

Uamuzi wa kwenda kutoa posa aliufanya mwenyewe Naseeb na watu wake wachache wa karibu bila ya kumfahamisha yeyote katika familia yake, hivyo hii ilikuwa taarifa nyeti kwangu mimi kuipata maana hakuna yeyote katika familia yake aliyekuwa akifahamu hili.

Taarifa ya kama posa ilipelekwa au lah itawajia tu, maana taratibu nyingine za mahari na ndoa zitafuata ambazo nitapewa taarifa pia.

Binafsi nimewaonea huruma sana, hii vita ni kubwa kwao kuivuka salama na kufanikisha kufunga ndoa.

Nasisitiza, nitawaletea taarifa pindi nitakapopata uhakika. Mkiona kimya endeleeni kusubiri hili sio jambo la haraka na siwezi kuwapa taarifa nisizo na uhakika nazo.

Cheers
Za ndani kabisaaaa😅😅😅
 
View attachment 3225842

Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’

Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.

Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.

Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.

Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.

Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?

Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.

Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya kesho kutwa tarehe 7.

Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.

Straight From The Horse’s Mouth,

Nifah.
Huo ni mwanzo wa mwisho wa penzi mahusiano yao.

2027 mbali sana
 
Sio vema kupika habari mdogo wangu. Umaarufu wa jamiiforum usitafutwe kwa kupika habari za uongo. Hakuna kitu kama hiki kinaendelea. Mama Dangote asijue kijana wake wa pekee kuwa anaenda kutoa posa ujue wewe chakubimbi?
haaa haa, posa inapelekwa na wahuni, period
 
Hapa sio chumbani binti...

Ukileta tarifa kwenye jukwaa la wazi kama hili ni lazima ijadiliwe na ipimwe...

Ikijaa kwenye vipimo vya ukweli, wasomaji tunatoa credit na credibility ya mtoa habari inapanda...

Ukileta tarifa ya uongo ni busara kuomba radhi japo sio lazima, lakini ukiomba radhi utapewa credit na credibility yako itabaki juu.
noted
 
View attachment 3225842

Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’

Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.

Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.

Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.

Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.

Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?

Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.

Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya kesho kutwa tarehe 7.

Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.

Straight From The Horse’s Mouth,

Nifah.
Hivi penzi lako na Ali Kiba ilikuaje hadi ikawa "fukuza kunguru?"
 
Ukishaingia mkataba na kile chama, hutakiwi kuoa.
Hakuna ndoa
 
Mond Miyeyusho sana, huyu mtoto hata dumu nae.. pisi yangu hii
 
Toa hoja mipasho waachie wakina Khadija Kopa.
Chief, mbona swali langu limenyooka sana.
Mpasho umetoka wapi kwenye swali langu?
Haupendi kuolewa na staa!?
Au umeshaolewa? Kama umeshaolewa tusameheane mkongwe.
 
Chief, mbona swali langu limenyooka sana.
Mpasho umetoka wapi kwenye swali langu?
Haupendi kuolewa na staa!?
Au umeshaolewa? Kama umeshaolewa tusameheane mkongwe.
Pinga hoja ya mwenzako kwa hoja na si kuuliza maswali ya kipuuzi. Kama umeona maoni si sahihi ungetoa yako ambayo unaona ni sahihi. Kupinga hoja kwa maswali ni mipasho.
 
My dear, hakuna kitakachokupa guarantee ya kutokuachana kama sio upendo na maelewano baina yenu.

Kuna waliozaa baada ya kuolewa wameachana, kuna waliozaa kabla ya kuolewa na wangali wanaishi pamoja.

Huwaoni Aika na Nahreel? Kwa zaidi ya miaka 10 wana watoto wawili sasa na wanaishi pamoja kwa mapenzi kedekede!
Hao wameoana kimya kmya kaka fatilia utajua
 
View attachment 3225842

Hatimaye!
Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’

Uamuzi huo umekuja huku kukiwa na sintofahamu nyingi juu ya mahusiano yao ambapo mwishoni mwa mwaka jana Zuchu alitangaza kwa mara nyingine kuachana kwao japo amekuwa akifanya hivyo mara nyingi na baadaye kurudiana.

Safari hii mambo yamekuwa tofauti kidogo baada ya majuzi kuibuka ugomvi ndani ya kampuni upande wa redio kwa Zuchu kuwashutumu wafanyakazi wa Diamond kumvunjia heshima.

Zuchu ameonekana ‘kukaza’, hajacheka na yeyote akiwemo Diamond mwenyewe na pengine hili limesogeza karibu ndoa yao.

Zuchu ameshinda vita iliyowashinda wengi?…
The mother in law from hell, Mama Diamond amekuwa mwiba mchungu takribani kwa kila mwanamke aliyetoka kimapenzi na Diamond.

Amesemekana kikwazo kikuu kwa Diamond kuoa, hivyo posa hii kwa Zuchu inatuacha njia panda kwamba Mama Dangote kapata kiboko yake? Je posa hii ina baraka za mama yake Diamond?

Ndoa ni kabla ya Ramadhani…
Mwezi uliopita Diamond akiwa na msanii mwenzie Nandy katika mkutano mkuu wa CCM, alionekana akisema atamuoa Zuchu kabla ya Ramadhani ya mwaka huu ambayo inategemewa kuanza mapema mwezi Machi.

Diamond amekuwa akitoa ahadi nyingi hivyo wengi hatukuchukulia tamko lile kwa uzito, nimeshtuka baada ya kupewa taarifa za uhakika kuwa ni kweli na posa hiyo itapelekwa nyumbani kwa Bi Khadija Kopa Ijumaa ya kesho kutwa tarehe 7.

Haya jamani, mambo ndio yako hivyo na hii ni habari endelevu nitakuwa hapa kuwajuza mapema kadiri nitakavyopokea taarifa.

Straight From The Horse’s Mouth,

Nifah.
Huyu zuchu si wa aziz ki? Mbona gen z mnatuchanganya?
 
Pinga hoja ya mwenzako kwa hoja na si kuuliza maswali ya kipuuzi. Kama umeona maoni si sahihi ungetoa yako ambayo unaona ni sahihi. Kupinga hoja kwa maswali ni mipasho.
Mkongwe, unajua kusoma vizuri kweli!?
Wapi nimepinga hoja yako?
 
Mwendelezo ni kila Jumatano na Jumamosi kila wiki. Naitwa Jay Alchemist mwandishi toka Afrika Mashariki. Uongozi wa taifa za Afrika ndio hutufanya waafrika tuwe nyuma. Tunaitwa The Dark Continent. Kisa? Viongozi wetu ni walafi na kama mwandishi wangu kipenzi BEN R MTOBWA alivyoandika: Hawa wanafakamia mali ya umma kwa njaa ile ya umaskini. Baada ya shibe, wanaendelea kufakamia mali ya jamii ili wailinde shibe hiyo. Jiunge nami katika hii safari ya wazalendo wa Afrika. Tusome hii simulizi iitwayo: Serikali ya Wezi, Taifa La Waliodanganywa. Simulizi hii ni sehemu Kijasusi kama ile series ya Joram Kiango ya Ben Mtobwa sehemu ya Kimaisha na sehemu kubwa riwaya kama zile za Ken Walibora

Kesho ni Jumatano: endelezo la simulizi yetu yenye utani na uandishi wenye kipaji kama waandishi wetu watukufu wa Afrika Mashariki. Katikati ya saa 6pm-8pm EAT. Tutamwona binti mwenye mini anavyomtesa fisi mtaani!
 

Attachments

  • Jamii.jpg
    Jamii.jpg
    783.9 KB · Views: 3
  • Serikali ya Wezi Article.png
    Serikali ya Wezi Article.png
    782 KB · Views: 3
Back
Top Bottom