Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

Sasa kulikiwa na maana gani ya kuniuliza yale maswali? Acha kutafuta reactions na sifa kwa comments za kipuuzi.
😂😂😂
Una wazimu wewe!
Niache kwenda kutafuta reactions kwa Elon Musk Nyamihela nitafute reactions humu kwa mganga njaa mwenzangu Maxence Melo?

Wewe kumsema mwenzako Zuchu kuwa yupo na Diamond kimaslahi sio kutafuta reactions!?
Ila mimi kukuhoji wewe kutokana na ulichokisema ndio imekuwa kutafuta reactions!?
 
Wewe kumsema mwenzako Zuchu kuwa yupo na Diamond kimaslahi sio kutafuta reactions!?
Ila mimi kukuhoji wewe kutokana na ulichokisema ndio imekuwa kutafuta reactions!?
Mimi nimetoa maoni yangu ila wewe unatafuta reactions la sivyo usingeuliza haya maswali.👇👇
Kwahiyo Diamond akuoe wewe?
Wewe ndio haupo kimaslahi, eti?
 
Mimi nimetoa maoni yangu ila wewe unatafuta reactions la sivyo usingeuliza haya maswali.👇👇
Tunapangiana maswali ya kuuliza?
Nimeuliza maswali kulingana na hayo maoni uliyotoa.
Otherwise useme haujayapenda maswali yangu.
 
Iko hivi Zuchu Ni msaanii mzuri sana Ila akitoka WCB ndo kajimaliza hata Kiki tena Na uwezekano mkubwa akiolewa Na Simba mziki wake mzuri ukadrop so kila kitu kinawezekana.
Ndoa ya kimkakati, Dai kashaona life span ya muziki wake inadecline.....na pesa ya muziki anaitaka....Pia Zuchu anamuingizia pesa nzuri.....
Anamuoa ili kumfunga asiondoke, pesa iendelee kuflow kwake.
 
IMG_6871.jpeg

Kaka ameshasema, tuendelee kunywa mtori…
 
Back
Top Bottom