Hayawi hayawi huwa; Makomando wa IDF waanza kuingia kwenye hospitali, mpambano unaendelea

Hayawi hayawi huwa; Makomando wa IDF waanza kuingia kwenye hospitali, mpambano unaendelea

Hakuna mtu siye mgonjwa ataenda kuhifadhi hospitali, raia wanaokimbia vita hawaendi hosp. Hao ni magaidi ndo wamejificha humo,
Huyo Dr naye atakuwa mshirika wa Hamas. Nimemuona aljazira akisema atakaa na wagonjwa hadi mwisho, mwisho umeshafika ,ajiandae tu.
Israel imedhamiria kuifuta Hamas Gaza, viongozi wa Hama's waendelee kula Kuku tu Dubai huku wanawaponza wenzao Nyumbani.
 
Hakuna mtu siye mgonjwa ataenda kuhifadhi hospitali, raia wanaokimbia vita hawaendi hosp. Hao ni magaidi ndo wamejificha humo,
Huyo Dr naye atakuwa mshirika wa Hamas. Nimemuona aljazira akisema atakaa na wagonjwa hadi mwisho, mwisho umeshafika ,ajiandae tu.

Huyo Daktari ni gaidi. Alikuwa ana piga kelele kila siku Al Jazeera, kumbe amehifadhi Magaidi kwenye mahandaki.
 
Hamas walifunga geti la Hospitali ya Al Shifa ili watu wasikimbie. Sasa waliotaka kukimbia wakawa wanalimwa Shaba live. Kuna mtu na mke wake wakitaka kukimbia ile wanakaribia getini wakaliwa Shaba.
Hamas walifunga geti la Hospitali ya Al Shifa ili watu wasikimbie. Sasa waliotaka kukimbia wakawa wanalimwa Shaba live. Kuna mtu na mke wake wakitaka kukimbia ile wanakaribia getini wakaliwa Shaba.
Hamas walifunga geti la Hospitali ya Al Shifa ili watu wasikimbie. Sasa waliotaka kukimbia wakawa wanalimwa Shaba live. Kuna mtu na mke wake wakitaka kukimbia ile wanakaribia getini wakaliwa Shaba.
Mimi nimeshangaa hawataki kuondoka. Kumbe ni Magaidi.
Mimi nimeshangaa hawataki kuondoka. Kumbe ni Magaidi.
 
Israel inashambulia kwa ndege kuzunguka maeneo ya hospital na maeneo mengine ya Gaza,wameingia hospital wanapiga risasi na mizinga,hawajakutana na chochote zaidi ya vifaa tiba
acha kujifariji we gaidi wa kibiti subiri video zina kuja baada ya kusafisha ile underground complex mliyo weka chini ya hospital linapigwa bomu kuisambaratisha hosptl yote
 
Lengo lao lilikuwa nini

Hamas wanatumika raia Kama Kinga. Sasa uwepo wa raia wengi Al Shifa utawasiadia wasilipuliww ndani ya jengo na IDF maana raia ni wengi na Dunia itapiga kelele Sana.
 
Israel imedhamiria kuifuta Hamas Gaza, viongozi wa Hama's waendelee kula Kuku tu Dubai huku wanawaponza wenzao Nyumbani.
🤣🤣🤣 HUYU NDIO KIONGOZI WA KIISLAMU ANAYETETEA HAKI ZA WAPALESTINA WAARABU
Screenshot_20231110-153901_2.jpg
Screenshot_20231110-153925_1.jpg
 
Back
Top Bottom