Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Israel imedhamiria kuifuta Hamas Gaza, viongozi wa Hama's waendelee kula Kuku tu Dubai huku wanawaponza wenzao Nyumbani.Hakuna mtu siye mgonjwa ataenda kuhifadhi hospitali, raia wanaokimbia vita hawaendi hosp. Hao ni magaidi ndo wamejificha humo,
Huyo Dr naye atakuwa mshirika wa Hamas. Nimemuona aljazira akisema atakaa na wagonjwa hadi mwisho, mwisho umeshafika ,ajiandae tu.
Nyama kidogo mkuu kwenye hili. Inamaana jamaa walianza kuwalamba Shaba wenzao?Hamas walikosea Sana kuwaua wapalestina waliokuwa wanakimbia Al Shifa. Hili suala limewachafua Sana.
Ohoo wameanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe tena?Hamas walikosea Sana kuwaua wapalestina waliokuwa wanakimbia Al Shifa. Hili suala limewachafua Sana.
Ohoo wameanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe tena?Hamas walikosea Sana kuwaua wapalestina waliokuwa wanakimbia Al Shifa. Hili suala limewachafua Sana.
Kila mpalestina aliyeonekana kutii ama kutaka kutii agizo la Israel la Raia wema kuhamia upande wa pili aligeuka kuwa potential target ya hamasi.Nyama kidogo mkuu kwenye hili. Inamaana jamaa walianza kuwalamba Shaba wenzao?
Dahhh!Kila mpalestina aliyeonekana kutii ama kutaka kutii agizo la Israel la Raia wema kuhamia upande wa pili aligeuka kuwa potential target ya hamasi.
Doha, Qatar kwenye kiyoyozi wakiwa wamezungukwa na bebez wa kiarabuNa viongozi wakuu wa hamas wala hawaishi Gaza.
Doha, Qatar kwenye kiyoyozi wakiwa wamezungukwa na bebez wa kiarabu
Wameuana wao kwa wao?
Hakuna mtu siye mgonjwa ataenda kuhifadhi hospitali, raia wanaokimbia vita hawaendi hosp. Hao ni magaidi ndo wamejificha humo,
Huyo Dr naye atakuwa mshirika wa Hamas. Nimemuona aljazira akisema atakaa na wagonjwa hadi mwisho, mwisho umeshafika ,ajiandae tu.
Hospitali imejaa mawakala wa Hamas kuliko raia wa kawaida. Wewe umepewa onyo uondoke eneo la uwaja wa vita na bado unabaki.
Hamas walifunga geti la Hospitali ya Al Shifa ili watu wasikimbie. Sasa waliotaka kukimbia wakawa wanalimwa Shaba live. Kuna mtu na mke wake wakitaka kukimbia ile wanakaribia getini wakaliwa Shaba.
Hamas walifunga geti la Hospitali ya Al Shifa ili watu wasikimbie. Sasa waliotaka kukimbia wakawa wanalimwa Shaba live. Kuna mtu na mke wake wakitaka kukimbia ile wanakaribia getini wakaliwa Shaba.
Hamas walifunga geti la Hospitali ya Al Shifa ili watu wasikimbie. Sasa waliotaka kukimbia wakawa wanalimwa Shaba live. Kuna mtu na mke wake wakitaka kukimbia ile wanakaribia getini wakaliwa Shaba.
Mimi nimeshangaa hawataki kuondoka. Kumbe ni Magaidi.
Mimi nimeshangaa hawataki kuondoka. Kumbe ni Magaidi.
acha kujifariji we gaidi wa kibiti subiri video zina kuja baada ya kusafisha ile underground complex mliyo weka chini ya hospital linapigwa bomu kuisambaratisha hosptl yoteIsrael inashambulia kwa ndege kuzunguka maeneo ya hospital na maeneo mengine ya Gaza,wameingia hospital wanapiga risasi na mizinga,hawajakutana na chochote zaidi ya vifaa tiba
Lengo lao lilikuwa nini
Israel inashambulia kwa ndege kuzunguka maeneo ya hospital na maeneo mengine ya Gaza,wameingia hospital wanapiga risasi na mizinga,hawajakutana na chochote zaidi ya vifaa tiba
Mkuu hii ni kweli au???
🤣🤣🤣 HUYU NDIO KIONGOZI WA KIISLAMU ANAYETETEA HAKI ZA WAPALESTINA WAARABUIsrael imedhamiria kuifuta Hamas Gaza, viongozi wa Hama's waendelee kula Kuku tu Dubai huku wanawaponza wenzao Nyumbani.
Doha, Qatar kwenye kiyoyozi wakiwa wamezungukwa na bebez wa kiarabu
Una picha mkuuNi kweli kabisa. Ilifanyika jumamosi. Na kisasabishi Cha IDF kuchelewa kuvamia Al Shifa Hospital.
🤣🤣🤣 HUYU NDIO KIONGOZI WA KIISLAMU ANAYETETEA HAKI ZA WAPALESTINA WAARABUView attachment 2814389View attachment 2814390