mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Wakiokuwa wanabeza kuwa Simba Sports Club haitaweza kujenga uwanja wake nadhani sasa yamewashinda.Leo grader liliendelea kufanya kazi huko Bunju. Simba Sports Clubs imepania kuhakikisha uwanja huo unaanza mapema.
Ujio wa Mo in faraja kubwa kwa Klabu ya Simba.
Ujenzi wa uwanja wa mazoezi wa Simba SC unaendelea katika eneo la Bunju jijini Dar es Salaam, Rais wa klabu hiyo Evance Aveva aliwaongoza baadhi ya viongozi na wanachama kufanya ukaguzi.
Mambo yanazidi kuonekana kwenda vizuri kwenye Uwanja wa Bunju unaomilikiwa na Simba, huku kukiwa na dalili za kikosi hicho kitaanza kufanya mazoezi kwenye uwanja wake mpya.
Uwanja huo wa klabu ya Simba, umeanza matengenezo na inaonekana yamekuwa yakienda kwa kasi kubwa.
Baada ya siku chache kuonekana tingatinga likikwangua, kuanzia juzi, mchanga maalum ambao huwa chini ya nyasi bandia umeanza kumwagwa.
Ujio wa Mo in faraja kubwa kwa Klabu ya Simba.
Mambo yanazidi kuonekana kwenda vizuri kwenye Uwanja wa Bunju unaomilikiwa na Simba, huku kukiwa na dalili za kikosi hicho kitaanza kufanya mazoezi kwenye uwanja wake mpya.
Uwanja huo wa klabu ya Simba, umeanza matengenezo na inaonekana yamekuwa yakienda kwa kasi kubwa.
Baada ya siku chache kuonekana tingatinga likikwangua, kuanzia juzi, mchanga maalum ambao huwa chini ya nyasi bandia umeanza kumwagwa.