Hayawi hayawi, Uwanja wa Bunju wa Simba FC, ujenzi wapamba moto

mwembemdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2016
Posts
2,282
Reaction score
1,252
Wakiokuwa wanabeza kuwa Simba Sports Club haitaweza kujenga uwanja wake nadhani sasa yamewashinda.Leo grader liliendelea kufanya kazi huko Bunju. Simba Sports Clubs imepania kuhakikisha uwanja huo unaanza mapema.

Ujio wa Mo in faraja kubwa kwa Klabu ya Simba.
Ujenzi wa uwanja wa mazoezi wa Simba SC unaendelea katika eneo la Bunju jijini Dar es Salaam, Rais wa klabu hiyo Evance Aveva aliwaongoza baadhi ya viongozi na wanachama kufanya ukaguzi.

Mambo yanazidi kuonekana kwenda vizuri kwenye Uwanja wa Bunju unaomilikiwa na Simba, huku kukiwa na dalili za kikosi hicho kitaanza kufanya mazoezi kwenye uwanja wake mpya.

Uwanja huo wa klabu ya Simba, umeanza matengenezo na inaonekana yamekuwa yakienda kwa kasi kubwa.

Baada ya siku chache kuonekana tingatinga likikwangua, kuanzia juzi, mchanga maalum ambao huwa chini ya nyasi bandia umeanza kumwagwa.
 
Yanga nayo ni wakati wa kujenga uwanja wao wa kisasa katika maeneo ya Mbezi-Morogoro road!
 
Hapa kuna dili linatafutwa, Baada ya siku 3 hilo greda halitakuwepo tena hapo uwanjani,
 
Yanga wao ni kuponda tuuu! Na kuonyesha kutokuwezekana kwa kila simba afanyalo.Kama ni rahisi mbona hata kifusi hamjaweka pale dimbwini.
 
C kila kitu basi ni Mohamed kumbuken Simba ipo chin ya viongoz wateule izo nijuhudi za viongoz wa Simba sports club
 
HIV jamaani simba huo uwanja wao ni Ekali ngapi . Mimi ni shabiki wa simba napenda tu kujua ili kama hilo eneo linaweza kutosha kujenga uwanja Mkubwa wa kisasa na viwanja vingine vya academy na hostel za wachezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…