Akili ya kubeti
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 417
- 636
Kwaiyo jana walikua wanafanya matusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani nani alikwambia wajawazito hawafungi ndoa?Wanafungaga ndoa wajawazito?
hayo ni maneno tu lililo kuu ndoa imefungwa maana maneno kufunga na kubariki ni yale yaleWamebariki ndoa au wamefunga ndoa kuna kufunga ndoa na kubariki ndoa
huwa nawashangaa watu kujifanya wasafii kwa vile tuu uchafu wao wanauficha siriniUfike wakati tuwe watu.
Hujui ni taratibu gani zimepitia hadi kufikia hapo.
Watakieni wenzenu mazuri
Basi mi ndo sijui nilijua wanabariki ndoa,kwani nani alikwambia wajawazito hawafungi ndoa?
Wataachana tu.
Nilipewa mkeka m1 huo. Duh had mke wa mmakonde yumo ndani.. sepenga. Ndani. Jide ndan. Gadna ndani.. prof jize ndan. Aisee ni balaa.. naomba niishie hapa.. grid ya ukweli. Zama yumo.. mke wa romy jons ndani. Romi jons ndani.. hatar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jaman, Nandy hawezi fanya hivyo,
Mtu km huyu analetewa home kabisaaa. Tena anaweza kuna na nurse/Dr special wa kazi hiyo.
Bill ndo William kama ilivyo kwa Bob na Robert.Bill Clinton ni William Jefferson Clinton.Billnas kuna sehemu nimeona anaitwa William lymo.
Yote kwa yote NDOA NI UVUMILIVU
Makanisa yote tuu siku hizi,Mimi nilifunga Katoliki mke akiwa na mimba ya miezi minne.Hao sio watumishi,ni watumishi njaa!.. Watumishi wa kweli wanasimamia misimamo ya imani yao.
Sio ukristo sema baadhi ya makanisa ya kimchongo mchongo ndio yanaruhusu watu kuoana mwanamke akiwa na mimba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila pesa tyuuh kamwagaa lol.Yaani aunt pombe ndo zilikuwa zinafanya kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeehNilipewa mkeka m1 huo. Duh had mke wa mmakonde yumo ndani.. sepenga. Ndani. Jide ndan. Gadna ndani.. prof jize ndan. Aisee ni balaa.. naomba niishie hapa.. grid ya ukweli. Zama yumo.. mke wa romy jons ndani. Romi jons ndani.. hatar
Wamependeza mnoooo.
Nawaombea mmefurahi Kama nimeoza miye vilee!Hawa wanapendana kwa dhati kabisaaa. Acha waoane.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!mchaga kwa hela nuksiiNyie mmeona Nenga kachukua hela kaweka kwenye koti la suti? Wallah wachaga hawajambo kwa pesa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu shangazi wa Nandy, atarudi Europe kwa mguu, sio kwa hela anazomwaga, na amelewaa ndiiiih [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Bado Nina Imani nao Mimi mwenzenu!!"Lower your expectations if you don't want disapointments"
- mkulungwa -