Hayawi hayawi yamekuwa, Bilinass na Nandy wafunga ndoa tar 16/7/2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach

Hayawi hayawi yamekuwa, Bilinass na Nandy wafunga ndoa tar 16/7/2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach

Ufike wakati tuwe watu.
Hujui ni taratibu gani zimepitia hadi kufikia hapo.
Watakieni wenzenu mazuri
huwa nawashangaa watu kujifanya wasafii kwa vile tuu uchafu wao wanauficha sirini

anaye funga ndoa na mimba na anaye shiriki meza ya bwana huku katoa mimba kimya kimya au aliye amkia kwenye zinaa nani afadhali?

maana wengi hawajui kwamba kabla ya kufunga ndoa ya aina hiyo huwa kuna tendo la kurudi kundini na toba.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jaman, Nandy hawezi fanya hivyo,
Mtu km huyu analetewa home kabisaaa. Tena anaweza kuna na nurse/Dr special wa kazi hiyo.
Nilipewa mkeka m1 huo. Duh had mke wa mmakonde yumo ndani.. sepenga. Ndani. Jide ndan. Gadna ndani.. prof jize ndan. Aisee ni balaa.. naomba niishie hapa.. grid ya ukweli. Zama yumo.. mke wa romy jons ndani. Romi jons ndani.. hatar
 
Hao sio watumishi,ni watumishi njaa!.. Watumishi wa kweli wanasimamia misimamo ya imani yao.

Sio ukristo sema baadhi ya makanisa ya kimchongo mchongo ndio yanaruhusu watu kuoana mwanamke akiwa na mimba
Makanisa yote tuu siku hizi,Mimi nilifunga Katoliki mke akiwa na mimba ya miezi minne.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Tusindikize na picha
p_6813411124202557525069_0_12ade96fc3308ad87e75fd5f78822b9c.jpg
p_6813415367531148582052_1_4efbc5f697fe0dd9fa9bd78e2b11fe0a.jpg
p_6813415367531148582052_0_be2d4292e6b3ffb9db63917da18c3ed4.jpg
p_6813411124202557525069_0_12ade96fc3308ad87e75fd5f78822b9c.jpg
 
Nilipewa mkeka m1 huo. Duh had mke wa mmakonde yumo ndani.. sepenga. Ndani. Jide ndan. Gadna ndani.. prof jize ndan. Aisee ni balaa.. naomba niishie hapa.. grid ya ukweli. Zama yumo.. mke wa romy jons ndani. Romi jons ndani.. hatar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeeh
 
Hawa wanapendana kwa dhati kabisaaa. Acha waoane.
Nawaombea mmefurahi Kama nimeoza miye vilee!
Afu mmegundua ndoa ni baraka wametrend mnooo kwa kweli na sijaskia negativity nyingi kutoka kwa watu km ndoa zingine
 
Nyie mmeona Nenga kachukua hela kaweka kwenye koti la suti? Wallah wachaga hawajambo kwa pesa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huyu shangazi wa Nandy, atarudi Europe kwa mguu, sio kwa hela anazomwaga, na amelewaa ndiiiih [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!mchaga kwa hela nuksii

Aunt Nandy ni Rich aunty sio mbabaifu kabisaa
 
Back
Top Bottom