[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule ni aunt ni kibokooo, nyie watu wana pesa aseeeeh. Khaaah.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!mchaga kwa hela nuksii
Aunt Nandy ni Rich aunty sio mbabaifu kabisaa
Hao Wala sitapoteza muda [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]drama tu palwTunasubiria ya Harmonize na Kajala...
Kwa Nini?Daaah! Manka umetokea sayari gani? Wewe siyo wa Dunia hii.
Kila mtu anajua Nenga na Nandy wanapendana kweli. Wangekua wengine wangesha achana na hata carrier yao ya [emoji445] ingekufa, lakini walisimama imara, jana wamehalalisha agano lao.Nawaombea mmefurahi Kama nimeoza miye vilee!
Afu mmegundua ndoa ni baraka wametrend mnooo kwa kweli na sijaskia negativity nyingi kutoka kwa watu km ndoa zingine
Mke wa konde kweli,Prof kweli,Uwoya kweli,jide Sina hakika na Sepenga ,Zama kwa kua alikua na jasiriNilipewa mkeka m1 huo. Duh had mke wa mmakonde yumo ndani.. sepenga. Ndani. Jide ndan. Gadna ndani.. prof jize ndan. Aisee ni balaa.. naomba niishie hapa.. grid ya ukweli. Zama yumo.. mke wa romy jons ndani. Romi jons ndani.. hatar
Hawana Mba mba mba kwenye matanuzi ,hyo chenji tu ya dukani!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule ni aunt ni kibokooo, nyie watu wana pesa aseeeeh. Khaaah.
Mamboo murua KabisaaKila mtu anajua Nenga na Nandy wanapendana kweli. Wangekua wengine wangesha achana na hata carrier yao ya [emoji445] ingekufa, lakini walisimama imara, jana wamehalalisha agano lao.
Mambo muruaaa.
"Mwee jamani nyiyee"Nilipewa mkeka m1 huo. Duh had mke wa mmakonde yumo ndani.. sepenga. Ndani. Jide ndan. Gadna ndani.. prof jize ndan. Aisee ni balaa.. naomba niishie hapa.. grid ya ukweli. Zama yumo.. mke wa romy jons ndani. Romi jons ndani.. hatar
Yaani gauni la pili baya haswaa kwa Hali zakeAlokua anamvalisha nenga apewe kiwanja mbweni.
Gauni la nandi la transparent binafsi ni Big No
Yuroooo zilizomwagwa paleee hapanaaa, watu tutafute hela kwa kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawana Mba mba mba kwenye matanuzi ,hyo chenji tu ya dukani!!
Rich Aunty[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nandy na Nenga ndo wanapendezanaa.Mamboo murua Kabisaa
Jasiri ndo alikua anaweka kauzibe kaenda watu wameoana kwa uzuriii
Mama Nandy Ila alimkataa Sana nenga ,sijui anajiskiaje wameoana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aunt bana sio shangazi[emoji23]