Hayawi hayawi yamekuwa, Bilinass na Nandy wafunga ndoa tar 16/7/2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach

Hayawi hayawi yamekuwa, Bilinass na Nandy wafunga ndoa tar 16/7/2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!mchaga kwa hela nuksii

Aunt Nandy ni Rich aunty sio mbabaifu kabisaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule ni aunt ni kibokooo, nyie watu wana pesa aseeeeh. Khaaah.
 
Nawaombea mmefurahi Kama nimeoza miye vilee!
Afu mmegundua ndoa ni baraka wametrend mnooo kwa kweli na sijaskia negativity nyingi kutoka kwa watu km ndoa zingine
Kila mtu anajua Nenga na Nandy wanapendana kweli. Wangekua wengine wangesha achana na hata carrier yao ya [emoji445] ingekufa, lakini walisimama imara, jana wamehalalisha agano lao.

Mambo muruaaa.
 
Nilipewa mkeka m1 huo. Duh had mke wa mmakonde yumo ndani.. sepenga. Ndani. Jide ndan. Gadna ndani.. prof jize ndan. Aisee ni balaa.. naomba niishie hapa.. grid ya ukweli. Zama yumo.. mke wa romy jons ndani. Romi jons ndani.. hatar
Mke wa konde kweli,Prof kweli,Uwoya kweli,jide Sina hakika na Sepenga ,Zama kwa kua alikua na jasiri
 
Kila mtu anajua Nenga na Nandy wanapendana kweli. Wangekua wengine wangesha achana na hata carrier yao ya [emoji445] ingekufa, lakini walisimama imara, jana wamehalalisha agano lao.

Mambo muruaaa.
Mamboo murua Kabisaa

Jasiri ndo alikua anaweka kauzibe kaenda watu wameoana kwa uzuriii

Mama Nandy Ila alimkataa Sana nenga ,sijui anajiskiaje wameoana
 
Mamboo murua Kabisaa

Jasiri ndo alikua anaweka kauzibe kaenda watu wameoana kwa uzuriii

Mama Nandy Ila alimkataa Sana nenga ,sijui anajiskiaje wameoana
Nandy na Nenga ndo wanapendezanaa.
Wako [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mashangaziii mpooooo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16580492147892144.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aunt bana sio shangazi[emoji23]

Kweli yule ni Aunt shangazi zetu wako Mliyayoyo au mputa kule aunt ndio wanaishi europe shangazi kama shangazi wako zao mloo ivuna huko wametulia au wako zao kifanya hawana dola wala shilingi
 
Back
Top Bottom