Hayawi sasa yamekuwa: Nedy Music na mwonekano wa tofauti ndani ya gauni la kike

Hayawi sasa yamekuwa: Nedy Music na mwonekano wa tofauti ndani ya gauni la kike

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Said Seif Ally (aliyezaliwa Februari 24, 1995) maarufu kwa jina la Nedy Music, ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo za Afropop, Zouk na Bongo Flava kutoka Tanzania. Anafahamika kwa wimbo wake "Usiende Mbali". Nedy aliteuliwa kwenye tuzo za Afrima mwaka wa 2018 na alishinda katika kipengele cha "African Fans favourite"

Hivi karibuni ameachia picha mpya akiwa amevalia gauni, Kwa mujibu wa kauli yake amesema hili sio Gauni la kike Ila ni fashion na ametumia ubunifu ili hata wanaume wengine waweze kuvaa

1637855062969.jpg
 
Huyu mbona habari zake tunazo kitambo hajafanya kusudi hapo anajua anchokifanya na yule jamaa nae ni handsome boy kifua kimemkaa vizuri anamiliki brand kubwa ya mavazi town anapendwa na mademu lakini huwezi amin anamkaa mwenzie bila huruma
 
Huyu mbona habari zake tunazo kitambo hajafanya kusudi hapo anajua anchokifanya na yule jamaa nae ni handsome boy kifua kimemkaa vizuri anamiliki brand kubwa ya mavazi town anapendwa na mademu lakini huwezi amin anamkaa mwenzie bila huruma
Ah huyu nani tena hata kwa code hebu mpost hapa of course Nedy wali nazi kitambo tu
 
Back
Top Bottom