mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mzee ingia tweeter andika shetani8 utakutana na balaaa mwenyewe😂😂😂Embu tupia connection tuhakikishe mkuu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee ingia tweeter andika shetani8 utakutana na balaaa mwenyewe😂😂😂Embu tupia connection tuhakikishe mkuu
Huyu mbona habari zake tunazo kitambo hajafanya kusudi hapo anajua anchokifanya na yule jamaa nae ni handsome boy kifua kimemkaa vizuri anamiliki brand hapa of course Nedy wali nazi
Napata raha ukiwa nami oooh oooh ,sijutiiiii nakuombeaaaaa uuuwiii, mwajuma mjusi 🤔Ah huyu nani tena hata kwa code hebu mpost hapa of course Nedy wali nazi kitambo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee jiunge nafas bado zipo, vipi nkuletee kadi? LolChama lenu limepata wafuasi wengi fasta sana than expected
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amependeza mnooo,
Vijana muwe wabunifu na mumsapoti mwenzenu jamani, acheni uchoyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jaribu bro ni fashooooon
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Said Seif Ally
Mule mule Anti Said
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upo town kweli? Ya kabwili je?Khe!! [emoji849]. Lini hiyo mbona imenipita kimya kimya
Wanawake wengi wamenyang'anywa waume zao na hawa wakata sarakasi🙅Nasikitika watoto wetu wanaotoka mikoani hawajui lolote wanaingia sodoma na gomora ndogo( DAR) wanashauriwa ujinga, aiseee Mungu tusamehe kizazi hiki ndio maana mvua imekuwa adimu, njaa kila kona, maisha hayaeleweki, ndoa hazieleweki, kila kitu kimevurugika
Mama amefungulia nchi wakuu
Nasikia kuna.kontena kumi za vilainishi zipo bandarini na mama amesema zipite kwa msamaha
Marinda yatapata tabu Sana
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kachukue ktk makao ya chama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie tenaa lol, wee ukitaka sema unaletewaa na mjumbe mwingne, we shida yako c kuletewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu iweje?
Tunapiga hapa hapa lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]