Ngano au ngadaKimsingi uchumi wa Tanzania umekufa chali , wanaficha tu , hebu jaribu kutembelea kariakoo , wenye nafuu ni wauza unga tu
Wabongo muwe na kiasi,,
Sio kila kitu kujitia kujua, Kwa kawaida mwez July had August mifumo ya fedha serikalin inakuwa imefungwa Kwa ajili ya ukamilishaj wa maandaliz ya bajet mpya.
Utaona kuanzia September Mambo yanabadilika.
Wavivu kwa kulalamika hamuwezekani.Fanyeni kazi acheni uvivu.
Sarafu yetu itazidi kushuka thamani hiyo mitambo na vifaa vyake wanavyotumia wakandarasi vinanunuliwa nje ya nchi kwa dolaKama malipo yao ni sarafu yetu ''print more money''
Itakuwa ni suluhisho la mda mfupi, pia kwa mazingira hayo italazimu kuweka kizuizi kwa kuongeza kodi kwa baadhi ya vitu vinavyoweza kuzalishwa hapa ndani.Sarafu yetu itazidi kushuka thamani hiyo mitambo na vifaa vyake wanavyotumia wakandarasi vinanunuliwa nje ya nchi kwa dola
Dola imeadimika Dunia nzima.Ndio maana dola imekua adimu [emoji2369]
Na bado after 1-2 years from now tutaongea lugha moja Mungu fundi huu ugomvi atauamua soon.It's approaching 00000000000000!!!!
Utabiri unaonyesha kamwe hatotoboaBi mkubwa naona kama jua linazama asipokuwa makini sijui kama ataweza kuendelea na hii safari.Habari njema ni kwamba leo jamaa yangu mwenye duka kaniambia sukari mzigo mpya bei yake imepanda tena,soda takeaway za kampuni zote kaniambia mzigo mpya ni 1200(sielewi hizi ni bei elekezi au ni kila mtu sasa anafanya anavyotaka)
Anyway,kila la kheri kwake,tutafika tu.
Ngoja tuone lisemwalo lipo wanasema waswahiliUtabiri unaonyesha kamwe hatotoboa
Licha ya Serikali ya Tanzania kuwa na upungufu mkubwa wa Dolla ya kimarekani, haijatosha na bado serikali ya Tanzania Inaonekana kuwa na Uhaba mkubwa wa Fedha za ndani ambazo Ali maarufu wanaziita madafu yaani Tsh, Hali hii imepelekea maisha kuwa magumu mtaani Kwa minajili kwamba ajira nyingi za sekta binafsi zinategemea serikali, kwani nyingi zinapata flow ya pesa kutoka Kwa mwigulu nchemba na wizara yake kiujumla.
Hali ya Hazina ni mbaya sana, pesa hakuna, ila tujikumbushe kuwa serikali kamwe haiwezi kufeli, na hiki ni kipindi cha mpito.
Hata wote tunakumbuka serikali ya Ugiriki ilivyodondoka kiuchumi, na kuokolewa na serikali ya ujerumani Kwa kuingiza Fedha kiasi Cha Dolla bilioni 100, kama Mkopo Kwa Greece , ambapo mpaka Sasa Mkopo huo uliweza kulipwa kupitia staili ya mabeberu ya magharibi ya kutumia ukoloni mamboleo.
Hali hii pia tunashukuru tumeweza kuijua kwakuwa serikali iliyopo madarakani imeruhusu uhuru wa kuongea , kwani ingekuwa enzi zile habari hii ingekuwa ni Siri kubwa