Hazina Haina Kitu: Wazabuni, Makandaradi, Madeni, ni taabu

Hazina Haina Kitu: Wazabuni, Makandaradi, Madeni, ni taabu

Taarifa za hovyo sana hizi. Kama wewe mzabuni unadai subiri utalipwa kulingana na taratibu badala ya kuja huku kusema uongo.
 
Huu sasa ndo UJUAJI.

Mkuu, una maanisha wote humu hatujawahi kuishi kuiona hiyo July/August transition before?

Kuwa mvumilivu kidogo kwenye maoni ya wengine
Transition haziwez kufanana , muhim kutambua kuwa hali ya July August huambatana na changamoto Kama hiz
 
Serikali yangu - mtu kama Mwigulu, Nape, January - Hawa hawawezi kufanya kazi kwa weledi kutusaidia wwnanchi kusonga mbele.

Walitakiwa wapumuzike tu - MILANGO WALIOTUMIA KUFIKA HAPO IMEJAA VIMEMO NA UFISADI MWINGI.
 
Biashara zote sasa hivi hazitoki...wateja hamna[emoji24]..hela hamna yaani...
Njoeni Nanjirinji muone kulivyodamshi, msimu wa ufuta umeisha sasa tupo msimu wa mbaazi, baada ya hapo unafuatia wa korosho, lete biashara yako iwe vifaa vya ujenzi, chakula, usafiri, vinywaji ,madawa ya kilimo au hata uchawi watu watanunua tu.
 
Licha ya Serikali ya Tanzania kuwa na upungufu mkubwa wa Dolla ya kimarekani, haijatosha na bado serikali ya Tanzania Inaonekana kuwa na Uhaba mkubwa wa Fedha za ndani ambazo Ali maarufu wanaziita madafu yaani Tsh, Hali hii imepelekea maisha kuwa magumu mtaani Kwa minajili kwamba ajira nyingi za sekta binafsi zinategemea serikali, kwani nyingi zinapata flow ya pesa kutoka Kwa mwigulu nchemba na wizara yake kiujumla.

Hali ya Hazina ni mbaya sana, pesa hakuna, ila tujikumbushe kuwa serikali kamwe haiwezi kufeli, na hiki ni kipindi cha mpito.

Hata wote tunakumbuka serikali ya Ugiriki ilivyodondoka kiuchumi, na kuokolewa na serikali ya ujerumani Kwa kuingiza Fedha kiasi Cha Dolla bilioni 100, kama Mkopo Kwa Greece , ambapo mpaka Sasa Mkopo huo uliweza kulipwa kupitia staili ya mabeberu ya magharibi ya kutumia ukoloni mamboleo.

Hali hii pia tunashukuru tumeweza kuijua kwakuwa serikali iliyopo madarakani imeruhusu uhuru wa kuongea , kwani ingekuwa enzi zile habari hii ingekuwa ni Siri kubwa
Mbona unaandika habari za hear say ambazo hazina ushahidi? Mkikamatwa mkathibitishe mtajibu nini hasa? Punguzeni ujinga basi.
 
unaongea hivyo wakati watu wanasubiri mwishoni mwa august waongezewe mishahara. viva tanzania
Mkuu wasitutishe hawa wasiojua. Kila mwaka kwa kipindi cha Julai hadi katikati ya Agosti Serikali usitisha malipo yote kw ajili ya kufanya reconciliation na kuhama kutoka bajeti ya mwaka unaopita na kuingia bajeti mpya. Na kwa taarifa zao, mifumo imeishafunguka tangu wiki iliyopita na mambo yanaenda kuwa mazuri. Viva Tanzania Viva!!!
 
Tunaambiwa kila siku wawekezaji wameongezeka na watalii wanamwagika kila siku kwa ajili ya Royal tour na uchumi unapaa sasa tunakosaje madafu
 
Licha ya Serikali ya Tanzania kuwa na upungufu mkubwa wa Dolla ya kimarekani, haijatosha na bado serikali ya Tanzania Inaonekana kuwa na Uhaba mkubwa wa Fedha za ndani ambazo Ali maarufu wanaziita madafu yaani Tsh, Hali hii imepelekea maisha kuwa magumu mtaani Kwa minajili kwamba ajira nyingi za sekta binafsi zinategemea serikali, kwani nyingi zinapata flow ya pesa kutoka Kwa mwigulu nchemba na wizara yake kiujumla.

Hali ya Hazina ni mbaya sana, pesa hakuna, ila tujikumbushe kuwa serikali kamwe haiwezi kufeli, na hiki ni kipindi cha mpito.

Hata wote tunakumbuka serikali ya Ugiriki ilivyodondoka kiuchumi, na kuokolewa na serikali ya ujerumani Kwa kuingiza Fedha kiasi Cha Dolla bilioni 100, kama Mkopo Kwa Greece , ambapo mpaka Sasa Mkopo huo uliweza kulipwa kupitia staili ya mabeberu ya magharibi ya kutumia ukoloni mamboleo.

Hali hii pia tunashukuru tumeweza kuijua kwakuwa serikali iliyopo madarakani imeruhusu uhuru wa kuongea , kwani ingekuwa enzi zile habari hii ingekuwa ni Siri kubwa
ChoiceVariable mungu wa uchumi wa nchi hii. Hii taarifa una maoni gani kuokoa jahazi?😄😄
 
Licha ya Serikali ya Tanzania kuwa na upungufu mkubwa wa Dolla ya kimarekani, haijatosha na bado serikali ya Tanzania Inaonekana kuwa na Uhaba mkubwa wa Fedha za ndani ambazo Ali maarufu wanaziita madafu yaani Tsh, Hali hii imepelekea maisha kuwa magumu mtaani Kwa minajili kwamba ajira nyingi za sekta binafsi zinategemea serikali, kwani nyingi zinapata flow ya pesa kutoka Kwa mwigulu nchemba na wizara yake kiujumla.

Hali ya Hazina ni mbaya sana, pesa hakuna, ila tujikumbushe kuwa serikali kamwe haiwezi kufeli, na hiki ni kipindi cha mpito.

Hata wote tunakumbuka serikali ya Ugiriki ilivyodondoka kiuchumi, na kuokolewa na serikali ya ujerumani Kwa kuingiza Fedha kiasi Cha Dolla bilioni 100, kama Mkopo Kwa Greece , ambapo mpaka Sasa Mkopo huo uliweza kulipwa kupitia staili ya mabeberu ya magharibi ya kutumia ukoloni mamboleo.

Hali hii pia tunashukuru tumeweza kuijua kwakuwa serikali iliyopo madarakani imeruhusu uhuru wa kuongea , kwani ingekuwa enzi zile habari hii ingekuwa ni Siri kubwa
Si wachapishe noti za madafu kwa wingi.?!
Au imekosekana pesa ya kumpa mzabuni atuchapie hela ya madafu
 
Ni kweli mifumo ikifunguliwa kuanzia September bei za bidhaa hasa Petroleum na Cement zitashuka
akili hii ndio maana hata bandari imewashinda kuendesha
yaani unashindwa kupanga mambo ya mwaka mpaka septemba ndio mjue ili ni lipi na lile ni lipi?
 
Licha ya Serikali ya Tanzania kuwa na upungufu mkubwa wa Dolla ya kimarekani, haijatosha na bado serikali ya Tanzania Inaonekana kuwa na Uhaba mkubwa wa Fedha za ndani ambazo Ali maarufu wanaziita madafu yaani Tsh, Hali hii imepelekea maisha kuwa magumu mtaani Kwa minajili kwamba ajira nyingi za sekta binafsi zinategemea serikali, kwani nyingi zinapata flow ya pesa kutoka Kwa mwigulu nchemba na wizara yake kiujumla.

Hali ya Hazina ni mbaya sana, pesa hakuna, ila tujikumbushe kuwa serikali kamwe haiwezi kufeli, na hiki ni kipindi cha mpito.

Hata wote tunakumbuka serikali ya Ugiriki ilivyodondoka kiuchumi, na kuokolewa na serikali ya ujerumani Kwa kuingiza Fedha kiasi Cha Dolla bilioni 100, kama Mkopo Kwa Greece , ambapo mpaka Sasa Mkopo huo uliweza kulipwa kupitia staili ya mabeberu ya magharibi ya kutumia ukoloni mamboleo.

Hali hii pia tunashukuru tumeweza kuijua kwakuwa serikali iliyopo madarakani imeruhusu uhuru wa kuongea , kwani ingekuwa enzi zile habari hii ingekuwa ni Siri kubwa
Kwani ile advance ya Dobo Payment Weld imeiisha? Mwambieni mgulu wa chemba afyatue mipesa mingi kama zimbabwe.
 
Licha ya Serikali ya Tanzania kuwa na upungufu mkubwa wa Dolla ya kimarekani, haijatosha na bado serikali ya Tanzania Inaonekana kuwa na Uhaba mkubwa wa Fedha za ndani ambazo Ali maarufu wanaziita madafu yaani Tsh, Hali hii imepelekea maisha kuwa magumu mtaani Kwa minajili kwamba ajira nyingi za sekta binafsi zinategemea serikali, kwani nyingi zinapata flow ya pesa kutoka Kwa mwigulu nchemba na wizara yake kiujumla.

Hali ya Hazina ni mbaya sana, pesa hakuna, ila tujikumbushe kuwa serikali kamwe haiwezi kufeli, na hiki ni kipindi cha mpito.

Hata wote tunakumbuka serikali ya Ugiriki ilivyodondoka kiuchumi, na kuokolewa na serikali ya ujerumani Kwa kuingiza Fedha kiasi Cha Dolla bilioni 100, kama Mkopo Kwa Greece , ambapo mpaka Sasa Mkopo huo uliweza kulipwa kupitia staili ya mabeberu ya magharibi ya kutumia ukoloni mamboleo.

Hali hii pia tunashukuru tumeweza kuijua kwakuwa serikali iliyopo madarakani imeruhusu uhuru wa kuongea , kwani ingekuwa enzi zile habari hii ingekuwa ni Siri kubwa
Wewe inafaa ukapimwe mkojo npamoja na akina mdude nyangali.
 
Back
Top Bottom