Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila we lolHuenda ni kale kaugonjwa ka kiitaliano "Deportivo De Coronya"
Siku hizi wote wanaitwa wakuu wa shule kwa kigezo cha wote wanakuwa na kiwango kinachofanana cha elimu.Zamani mwalm mkuu alikuwa ana ngazi ya cheti na mkuu wa shule alikuwa na stashahada au shahada ,lakini sasa hivi shule zote zina wakuu wa shule kwa kuwa elimu ni stashahda au shahada ndoo maana wqmebadilisha.
Daaah upumuaji unaua balaaHabari wanajukwaa,
Shule kongwe ya ufundi ya Bwiru boys imepoteza mwalimu wake mkuu, mwalimu Elias Kaboja.
Taarifa zinadai Mwalimu Kaboja alienda kumsalimu mwalimu wake hospitali ya Bugando na alipotoka naye akaugua na alipopelekwa hospitali hakuweza kurudi tena nyumbani.
Too sad. Namfahamu. Nilisoma naye Nsumba Sekondari. Alikuwa mbele yangu mwaka mmojaHabari wanajukwaa,
Shule kongwe ya ufundi ya Bwiru boys imepoteza mwalimu wake mkuu, mwalimu Elias Kaboja.
Taarifa zinadai Mwalimu Kaboja alienda kumsalimu mwalimu wake hospitali ya Bugando na alipotoka naye akaugua na alipopelekwa hospitali hakuweza kurudi tena nyumbani.