TANZIA Head Master wa Bwiru Boys, Elias Kaboja afariki dunia

TANZIA Head Master wa Bwiru Boys, Elias Kaboja afariki dunia

Umesoma jinsi huyo mwalimu alivyofariki? Alienda kumtembelea mwenzake hospitali then aliporudi nae akaanza kuumwa na kufa.

Maana yake kama tungekuwa tunacheza kwaito ya WHO huyu mwalimu asingeruhusiwa kuingia hospitali bila ya tahadhari zote na pengine hata asingeruhusiwa kuingia kwenye wodi ya wagonjwa wa Corona na leo angekuwa hai.

Lakini kwa sababu tumechagua kucheza sengeli huyu mwalimu aliingia wodi ya wagonjwa wa corona kwa madai kuwa mgonjwa anaumwa pnemonia kwa hiyo hana haja ya kuchukua tahadhari yoyote na matokeo yake ndiyo hayo!
Wee umejuaje kama mgonjwa alikua anaumwa corona, kipindi kifupi ambukizwe na hapo hapo aanze kuumwa corona na hapo hapo kufa. Hata kama ugonjwa huu ni tishio lakini sio hivyo.

Unamaana kila anaye kufa siku hizi anakorona sio, na kila mtu amekuwa daktari kujua mwalimu corona ndo ilimuua.
 
May his soul RIP.

Huyu Mzee alikua moja ya waumini diehard wa Meko, mwaka 2015 tukiwa kidato cha sita Bwiru Boys, alikua akitulazimisha twende kwenye mikutano ya CCM.
Muda mwingine alikua akitukuta wanafunzi tumekaa, anaanza ku bragg kuhusu sentiments na sera za Magu na CCM, kama ananipigia kampeni vile.
It's very sad kuwa, alisikiliza mpaka ambavyo hakupaswa kusikiliza.

Rest in peace Mwl. wangu, EJ Kaboja.
 
Back
Top Bottom