Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Mwalimu mkuu ni mkuu wa taaluma wa shule, hahusiki na uendeshaji wa shule. Mara nyingi hutumika kwa shule za msingi. Mkuu wa shule ni msimamizi wa shughuli zote za shule na hutumika kwa shule za sekondari.Mwalimu mkuu na mkuu wa shule kuna tofauti yoyote?