Mwalimu mkuu ni mkuu wa taaluma wa shule, hahusiki na uendeshaji wa shule. Mara nyingi hutumika kwa shule za msingi. Mkuu wa shule ni msimamizi wa shughuli zote za shule na hutumika kwa shule za sekondari.Mwalimu mkuu na mkuu wa shule kuna tofauti yoyote?
Umenena vizuri sana. Watu wanashabikia lockdown, hawajui kuwa jambo hili ni la kibinafsi zaidi. Oooh serikali, serikali, Serikali ije ikusafishie choo chako?Hivi jamani kwanini tunashindwa hata kuvaa mask na kunawa mtu unaenda Hosp haijalishi anaumwa nini.
Sasa kama walimu sasa sijui usalama wa wanafunzi na labda wanafunzi kwa kuwa wana nguvu ya kupambana na huu ugonjwa ila je wakiwapelekea wazazi wao au bibi na babu majumbani.
Hatari sana.
Dah..Mungu awajalie wepesi walioguswa na msiba huu. Na amjalie Marehemu pumziko la amaniHabari wanajukwaa,
Shule kongwe ya ufundi ya Bwiru boys imepoteza mwalimu wake mkuu, mwalimu Elias Kaboja.
Taarifa zinadai Mwalimu Kaboja alienda kumsalimu mwalimu wake hospitali ya Bugando na alipotoka naye akaugua na alipopelekwa hospitali hakuweza kurudi tena nyumbani.
Haya yote ni matokeo ya bichwa kubwa kucheza sengeli badala ya kwaito!
View attachment 1691597
Umesoma jinsi huyo mwalimu alivyofariki? Alienda kumtembelea mwenzake hospitali then aliporudi nae akaanza kuumwa na kufa.Kwani huko wanapocheza kwaito hawafi mkuu? Cheki Rwanda pamoja na maangalizo yote wamepigwa marufuku uingereza kisa corona
R.I.P mwalimu. Tuchukue tahadhari.Habari wanajukwaa,
Shule kongwe ya ufundi ya Bwiru boys imepoteza mwalimu wake mkuu, mwalimu Elias Kaboja.
Taarifa zinadai Mwalimu Kaboja alienda kumsalimu mwalimu wake hospitali ya Bugando na alipotoka naye akaugua na alipopelekwa hospitali hakuweza kurudi tena nyumbani.
Hivi jamani kwanini tunashindwa hata kuvaa mask na kunawa mtu unaenda Hosp haijalishi anaumwa nini.
Sasa kama walimu sasa sijui usalama wa wanafunzi na labda wanafunzi kwa kuwa wana nguvu ya kupambana na huu ugonjwa ila je wakiwapelekea wazazi wao au bibi na babu majumbani.
Hatari sana.
😩Diportivo? Prolly.
Umesoma jinsi huyo mwalimu alivyofariki?Alienda kumtembelea mwenzake hospitali then aliporudi nae akaanza kuumwa na kufa.Maana yake kama tungekuwa tunacheza kwaito ya WHO huyu mwalimu asingeruhusiwa kuingia hospitali bila ya tahadhari zote na pengine hata asingeruhusiwa kuingia kwenye wodi ya wogonjwa wa Corona na leo angekuwa hai.Lakini kwa sababu tumechagua kucheza sengeli huyu mwalimu aliingia wodi ya wagongonjwa wa corona kwa madai kuwa mgonjwa anaumwa pnemonia kwa hiyo hana haja ya kuchukua tahadhari yoyote na matokea yake ndiyo hayo!
Wapi wamesema kaingia kwenye wodi ya wagonjwa wa corona?. Hivi huwa mnalipwa shilingi ngapi kuupigia debe ugonjwa wa corona?Umesoma jinsi huyo mwalimu alivyofariki?Alienda kumtembelea mwenzake hospitali then aliporudi nae akaanza kuumwa na kufa.Maana yake kama tungekuwa tunacheza kwaito ya WHO huyu mwalimu asingeruhusiwa kuingia hospitali bila ya tahadhari zote na pengine hata asingeruhusiwa kuingia kwenye wodi ya wogonjwa wa Corona na leo angekuwa hai.Lakini kwa sababu tumechagua kucheza sengeli huyu mwalimu aliingia wodi ya wagongonjwa wa corona kwa madai kuwa mgonjwa anaumwa pnemonia kwa hiyo hana haja ya kuchukua tahadhari yoyote na matokea yake ndiyo hayo!
Jaffo alisema tupige nyungu season 3.Watanzania turudie kujifusha na nyungo, corona inaua jamani
Uludi..!!!Wacha nirudi Chato
Hivi jamani kwanini tunashindwa hata kuvaa mask na kunawa mtu unaenda Hosp haijalishi anaumwa nini.
Sasa kama walimu sasa sijui usalama wa wanafunzi na labda wanafunzi kwa kuwa wana nguvu ya kupambana na huu ugonjwa ila je wakiwapelekea wazazi wao au bibi na babu majumbani.
Hatari sana.
[emoji44][emoji15]Haya yote ni matokeo ya bichwa kubwa kucheza sengeli badala ya kwaito!
View attachment 1691597