Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Sawa wao ni wagumu kwao je Yanga ni mwepesi kwake? na hana uwezo wa kushinda ugenini?Yanga wapo kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamepangwa kundi moja na kigogo Al Ahly.
Head to head wamekutana mara 6. Yanga akifanikiwa kuibuka mara moja tu na ushindi dhidi ya Al Ahly...
Usiseme hati hati,nyoosha maelezoYanga wapo kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamepangwa kundi moja na kigogo Al Ahly.
Head to head wamekutana mara 6. Yanga akifanikiwa kuibuka mara moja tu na ushindi dhidi ya Al Ahly...
Kwa hizo data mbona hausemi wamepindua meza?Yanga wapo kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamepangwa kundi moja na kigogo Al Ahly.
Head to head wamekutana mara 6. Yanga akifanikiwa kuibuka mara moja tu na ushindi dhidi ya Al Ahly.
Ikumbukwe kundi la Yanga lina timu zilizoshiba ambazo ni Al Ahly, CR Belouzdad na Madeama ambao ni wabishi sana wakiwa kwao.
Kuna hati hati ya Yanga akawa kibonde wa kundi lake ukilinganisha na timu nyingine ambazo zina uzoefu na ligi ya mabingwa.View attachment 2773802
hizo ni ndoto zakoYanga wapo kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamepangwa kundi moja na kigogo Al Ahly.
Head to head wamekutana mara 6. Yanga akifanikiwa kuibuka mara moja tu na ushindi dhidi ya Al Ahly.
Ikumbukwe kundi la Yanga lina timu zilizoshiba ambazo ni Al Ahly, CR Belouzdad na Madeama ambao ni wabishi sana wakiwa kwao.
Kuna hati hati ya Yanga akawa kibonde wa kundi lake ukilinganisha na timu nyingine ambazo zina uzoefu na ligi ya mabingwa.View attachment 2773802
Yanga atatoboa watu hawata amini.
Nyoosha maelezo Kama mwanaume aliyekamilika sio unajiumauma Kama vile ujielewi, unaposema medeama wagumu kwao kwaiyo yanga ndio nyepesi kwao na ugenini? Unajuwa maana ya uzoefu ama unapuyanga tu? Yanga kacheza kombe la shirikisho barani afrika Tena na waarabu hao hao waliomtwanga Aly ahly unapataje mamlaka ya kusema yanga Hana uzoefu na mechi kubwa barani afrika Tena kwenye viwanja tofauti tofauti?Yanga wapo kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamepangwa kundi moja na kigogo Al Ahly.
Head to head wamekutana mara 6. Yanga akifanikiwa kuibuka mara moja tu na ushindi dhidi ya Al Ahly.
Ikumbukwe kundi la Yanga lina timu zilizoshiba ambazo ni Al Ahly, CR Belouzdad na Madeama ambao ni wabishi sana wakiwa kwao.
Kuna hati hati ya Yanga akawa kibonde wa kundi lake ukilinganisha na timu nyingine ambazo zina uzoefu na ligi ya mabingwa.View attachment 2773802
Muda utakapofika utaujutia huu uchaa mbuzi wako wa mchongo.Yanga wapo kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamepangwa kundi moja na kigogo Al Ahly.
Head to head wamekutana mara 6. Yanga akifanikiwa kuibuka mara moja tu na ushindi dhidi ya Al Ahly.
Ikumbukwe kundi la Yanga lina timu zilizoshiba ambazo ni Al Ahly, CR Belouzdad na Madeama ambao ni wabishi sana wakiwa kwao.
Kuna hati hati ya Yanga akawa kibonde wa kundi lake ukilinganisha na timu nyingine ambazo zina uzoefu na ligi ya mabingwa.View attachment 2773802
N aamin8 Yanga watafanya vizuri sana.Yanga wapo kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamepangwa kundi moja na kigogo Al Ahly.
Head to head wamekutana mara 6. Yanga akifanikiwa kuibuka mara moja tu na ushindi dhidi ya Al Ahly.
Ikumbukwe kundi la Yanga lina timu zilizoshiba ambazo ni Al Ahly, CR Belouzdad na Madeama ambao ni wabishi sana wakiwa kwao.
Kuna hati hati ya Yanga akawa kibonde wa kundi lake ukilinganisha na timu nyingine ambazo zina uzoefu na ligi ya mabingwa.View attachment 2773802
Yanga atatoboa watu hawata amini.
Zungumzia asipopita. Kumbe unakubaliana kwamba waliopita katika kundi la Ahly (tena kwa kuongoza group) ni giants!Yanga akipita mtakubali kuwa Yanga ni giant?
Hayo ya kutokupita yaseme weweZungumzia asipopita. Kumbe unakubaliana kwamba waliopita katika kundi la Ahly (tena kwa kuongoza group) ni giants!
Si tulishasema sisi malengo yetu ni group stages,? Hayo mengine yskija itakuwa ni bonus tu kwetu
Mbona hujaweka ile ya 5-0 na 4-0 ?Yanga wapo kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Wamepangwa kundi moja na kigogo Al Ahly.
Head to head wamekutana mara 6. Yanga akifanikiwa kuibuka mara moja tu na ushindi dhidi ya Al Ahly.
Ikumbukwe kundi la Yanga lina timu zilizoshiba ambazo ni Al Ahly, CR Belouzdad na Madeama ambao ni wabishi sana wakiwa kwao.
Kuna hati hati ya Yanga akawa kibonde wa kundi lake ukilinganisha na timu nyingine ambazo zina uzoefu na ligi ya mabingwa.View attachment 2773802
Aaahaaaa,wako bize na YangaMbona hujaweka ile ya 5-0 na 4-0 ?