Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo score alifungwa Yanga namkumbusha amezisahauAaahaaaa,wako bize na Yanga
Usajili wao wa msimu huu unatisha sana.Al ahly ya sasa sio kama ya zamani al ahly ya sasa imebadilika pakubwa mno.
Mwache acheze kwanza na Simba tuone ana maajabu ganiUsajili wao wa msimu huu unatisha sana.
Maajabu anayo.Mwache acheze kwanza na Simba tuone ana maajabu gani
Tumewatanguliza nyie kama chambo,mkifa ndo tunaweka full mzikiMaajabu anayo.
Hiyo midfield yao inatisha sana.
Kuna full mziki mwingine haujawahi kupangwa? Basi mna siri sana, mi nilikuwa najua huo wa Musonda na MzinzeTumewatanguliza nyie kama chambo,mkifa ndo tunaweka full mziki
Mziki upi ?Tumewatanguliza nyie kama chambo,mkifa ndo tunaweka full mziki
Unadhani Simba pekee ndiye alipigiwa 5?huyo jamaa ana maanisha nyie ndio mlipogwa 5-0 na 4-0 mwaka 1982 na 1988Aaahaaaa,wako bize na Yanga
Fukueni zoteUnadhani Simba pekee ndiye alipigiwa 5?huyo jamaa ana maanisha nyie ndio mlipogwa 5-0 na 4-0 mwaka 1982 na 1988
Mwambie nyakati hubadilikaSawa wao ni wagumu kwao je Yanga ni mwepesi kwake? na hana uwezo wa kushinda ugenini?
Sasa hao waliochezea yanga enzi hiyo nafikiri hata wengi wao wazee au hata hawapo.Unadhani Simba pekee ndiye alipigiwa 5?huyo jamaa ana maanisha nyie ndio mlipogwa 5-0 na 4-0 mwaka 1982 na 1988