Headmaster Ifunda Tech. alinusurika kifo kutoka kwa wanafunzi

Izi dini zinakoelekea zitafanya mambo mabaya ata zaidi ya haya binafsi naona Shule ziendelee ktk misingi ya shule na dini ibaki ktk misingi ya Dini. Dini yako isiwe ndio kitu cha kuhalalisha uvunjifu wa amani

Mwisho watahitaji kujengewa KIBLA kila darasa

 
Haya ni matokeo ya mafunzo yanayotolewa kwa vijana kwenye madrasa na misikiti mfano msikiti wa Mwenge mafunzo ya karate ya nini?

Watanzania walitaka raisi wakampata Kikwete
 
Haya ni matokeo ya mafunzo yanayotolewa kwa vijana kwenye madrasa na misikiti mfano msikiti wa Mwenge mafunzo ya karate ya nini?

Watanzania walitaka raisi wakampata Kikwete

Kuvaa Kininja ni Staili ya Magaidi halafu wanasisitiza eti Uislamu ni Amani.

 
Haya ni matokeo ya mafunzo yanayotolewa kwa vijana kwenye madrasa na misikiti mfano msikiti wa Mwenge mafunzo ya karate ya nini?

Watanzania walitaka raisi wakampata Kikwete

Hatutaki mambo ya ugalatia kutangaza uzinifu hadharani wa rais wa chadema !
 

Tatizo lenu mnawapandikiza roho ya uongo na ufisadi watoto wenu 'ati mungu alipigwa akauawa mtini !'
 
Jambo la kushukuru mwalimu husija anaitwa Shaaban...,
 
Nawahurumia wadogo zangu ni matokeo ya mafundisho ya kina ilunga, ponda, mselem, kundecha, mazinge, kishk, radio imaana na mwamedi said.

Ombi:
hao watoto wafkishwe mahakaman na wakipatkna na hatia watupwe jela.. Ili iwe fundisho kwa wengne.
 
Ugaidi mbona wameuanza wakiwa watoto waadogo sana?
Eti hawa nao ni taifa la kesho. Kesho tutakuwa na taifa la ajabu sana[/QUOTE

hata huku kibaha mwanalugali sekondari wapo waliojiita alqaeda na alshababu watoto hawa ndio maana wanapata ziro
 
Mkwawa sekondari tulikuwa tunakatazwa hata kuvaa kofia za kawaida enzi za Headmaster Mbao na secondmaster Tende na hatukubisha,ila hawa wa sikuhizi balaa tupu wakifeli kosa la mama Ndalichako.

We mgalatia kwani kofia ndo zinajibu maswali !? Mama Ndalichako kafungua parokia pale !
 

Tumemtumia Warioba !
 
Jk na ccm sitochoka kuwalalamikia ktk hili suala la udini ambalo hatukuwa nalo ktk awamu zilizopita.
 
Wanajamv mcseme ss haya n ya toka zaman m nimepiga kitabu Tosa,yalishatokea watu wakakatana mapanga,utambulisho ulikua majina,kisa mwanafunz aliingia na nyama ya kitimoto dining
 

Wewe Kafiri, Uislaam ulianza na Nabii Adam A.S, hata Yesu sio Mkiristo !
 
halafu utakuta mijiwanafunzi ya hivi ni vilaza wa kutupwa.

Vilaza kama wale wagalatia waliopewa picha ya mzungu wakaambiwa 'huyu ni mungu' .....pathetic people ! Mungu ananunuliwa dukani !
 
nimesoma highland kulikuwa na fujo na wahuni ila hatukufikia hatua hii ya kuvaa kofia haijawahitokea na shule ilikua ni ya kiislam hao watoto ni wahuni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…