Health is wealth, kwa experience Yako mtu anawezaje kutunza afya yake

Health is wealth, kwa experience Yako mtu anawezaje kutunza afya yake

Wewe na dada Joannah itakuwa mna madeni lukuki 😂
Mbona pointi nyingine zipo kama
-land alienation
-early marriage
-poor infrastructure.
Lakini mmeiganda ya madeni 😂
Points zingine tumezipitisha mkuu, ila hii ya kudaiwa naona haikukaa sawa. Ila asante kwamba umetuelewa.
 
Binafsi nakopa kwa kujiamini kabisa, najua serikali yangu itanilipia niki-default🤣🤣🤣

Imekuwaje nakuwa shem wako? Ni huyu mzee mwenzangu Grahams au ni yule kijana @glenn? 🤣🤣 sikubali
Hahaha..................Mzee mwenzangu huyo Mjukuu, binafsi simuwezi

Tangu nimeingia Mwaka 2025 nahisi hata nguvu za kwenda safari moja Kwa Mwaka nadhani nitakosa

Itakuwa ni kumtesa Mjukuu kufanya kazi ya kuimba na maiki pasipo mnala wa Babeli kusimama 😜

Heri ya Mwaka Mpya 2025 Mkuu 🥂
 
Mmmh huyo mzee Grahams moto wake siuwezi,😅
Mjukuu huoni Babu yenu nilivyozeeka?

Hata kwenda safari moja simudu bila dawa zangu za Presha 🤗

Heri ya Mwaka Mpya 2025 Mjukuu, nimefurahi kuona umevuka salama 🙏🙏
 
Hahaha..................Mzee mwenzangu huyo Mjukuu, binafsi simuwezi

Tangu nimeingia Mwaka 2025 nahisi hata nguvu za kwenda safari moja Kwa Mwaka nadhani nitakosa

Itakuwa ni kumtesa Mjukuu kufanya kazi ya kuimba na maiki pasipo mnala wa Babeli kusimama 😜

Heri ya Mwaka Mpya 2025 Mkuu 🥂
Heri ya mwaka mpya mkuu, ukawe mwaka wenye baraka tele kwako na watu wa nyumba yako.🍻
 
Heri ya mwaka mpya mkuu, ukawe mwaka wenye baraka tele kwako na watu wa nyumba yako.🍻
Shukrani sana Mkuu, ukibarikiwa na Mzee kama hivi, baraka zinaenda moja kwa moja Kwa mlengwa.

Nami nakutakia Kila la heri Mzee mwenzangu, huu Mwaka usiishe bila kumzawadia Mjukuu wetu Atoto ile zawadi uliyomuhaidi mbele yangu Babu yake 🤗

Mungu atupe afya na maisha marefu Mkuu 🙏🙏
 
1. Chunga sana kinachoingia mwilini mwako. Iwe chakula kinywaji au hata dawa. Hivi vitu ni chanzo kikubwa cha magonjwa
2. Kuwa na discipline katika maisha. Tabia za ovyo zitakusababishia mambo ya ovyo na kuvuruga akili yako
3. Jibidiishe na tumia akili katika shughuli uzifanyazo
4. Kuwa positive thinker
 
Shukrani sana Mkuu, ukibarikiwa na Mzee kama hivi, baraka zinaenda moja kwa moja Kwa mlengwa.

Nami nakutakia Kila la heri Mzee mwenzangu, huu Mwaka usiishe bila kumzawadia Mjukuu wetu Atoto ile zawadi uliyomuhaidi mbele yangu Babu yake 🤗

Mungu atupe afya na maisha marefu Mkuu 🙏🙏
🤣🤣🤣Amina mkuu!
Atoto ameanza mwaka kivingine🤔
 
Shukrani sana Mkuu, ukibarikiwa na Mzee kama hivi, baraka zinaenda moja kwa moja Kwa mlengwa.

Nami nakutakia Kila la heri Mzee mwenzangu, huu Mwaka usiishe bila kumzawadia Mjukuu wetu Atoto ile zawadi uliyomuhaidi mbele yangu Babu yake 🤗

Mungu atupe afya na maisha marefu Mkuu 🙏🙏
Babu huyo tapeli hawezi timiza ahadi yoyote. Ni kama mlizaliwa baba mmoja, mama mmoja🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Babu huyo tapeli hawezi timiza ahadi yoyote. Ni kama mlizaliwa baba mmoja, mama mmoja🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Wazee hatuna hiyo sifa ya Utapeli, katika Wazee ambao tumekuwa tunatimiza ahadi zetu Kwa wakati ni Mimi na Mzee mwenzangu ERoni tu

Tukihaidi tunatimiza

Ni kama ahadi za CCM tu 🤗

IMG_20250106_105015_963.jpg
 
Kufanya makosa ndio kujifunza, Sasa nadhani humu Kuna wataalamu wa afya lakini pia Kuna watu wana uelewa mkubwa kuhusu masuala ya afya

Nina uliza ninawezaje kutunza afya yangu ya mwili na akili

Naombeni tips niishi nazo 2025
kua na Bima ya afya ni mbinu muhimu na namna mojawapo ya kutunza na kujali afya na maisha yako.

Hakikisha kabla ya kumiliki Iphone ya milioni 4 una Bima ya afya ya elfu70🐒
 
🤣🤣🤣Amina mkuu!
Atoto ameanza mwaka kivingine🤔
Hahaha.........ameanzaje Mwaka?

Au lile ombi lako la mmoja wa Uzeeni amelikubali😜

Mzee mwenzangu umebahatika sana, Mimi nilitaka kujaribu hilo na Mjukuu mmoja wa elfu 2, nikaishia kugombana naye

Maana alifanya kazi ya kuniimbia na maiki usiku Kucha lakini mnala wa Babeli haukuweza kusimama

Kweli tumezeeka sasa 🤗
 
Back
Top Bottom