Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

Get well soon my dear friend!
Upone haraka..hii news imenishtua sana, ni jana tu hapa jamvini tulikuwa tunazungumzia maswala ya vibaka.
And its happen dah vibaka wabaya sana! Pole sana rafiki yetu.
 
Pole sana dada yangu Heaven on Earth kwa kadhia hiyo iliokukuta.. Mie na wifi yako Paloma tunamuomba Mungu akusaidie upate ahueni na kurudi tena kwenye shughuli za kujenga nchi..

Ninategemea Polisi na vyombo vya dola vitafanya uchunguzi na kuwakamata wote waliohusika na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria..
 
Last edited by a moderator:
kha!!! never mess with mzabzab...jana alitoa a very cynical comment sasa imekula kwake hahahahahah
 
Pole sana Heaven on Health, Mungu atakuponya


Ndugu Jamaa na Marafiki.

Nasikitika kutoa taarifa juu ya madhira aliyokutana nayo dada na ndugu yetu HEAVEN ON EARTH jana usiku.
Akiwa anaelekea nyumbani kwake jana usiku alivamiwa na vibaka/majambazi na kumjeruhi vibaya sana.

Toka alipopatwa na madhira hayo mpaka mchana huu bado hawajeza kuongea, naomba tushirikiane kumuombea ili matibabu anayopata yaweze kumrejeshea nguvu na afya yake.

Nitakapopata taarifa za ziada nitawajuza.
 
Back
Top Bottom