Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

Ni vibaka tu au? Maana kuna siku alizinguana na mtu humu na yule jamaa akamwambia anamjua na hadi chuo na kozi aliyosoma pale udsm. Tuanze kumuhoji huyo member kwanza
 
Mtoa habari hebu eleza vyema ilikuwaje. Tukio limetokea wapi na kama hao wavamizi wamechukua kitu isije ikawa ni tukio la kulipana visasi..

Get well soon Heaven on Earth.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Jamaa na Marafiki.

Nasikitika kutoa taarifa juu ya madhira aliyokutana nayo dada na ndugu yetu HEAVEN ON EARTH jana usiku.
Akiwa anaelekea nyumbani kwake jana usiku alivamiwa na vibaka/majambazi na kumjeruhi vibaya sana.

Toka alipopatwa na madhira hayo mpaka mchana huu bado hawajeza kuongea, naomba tushirikiane kumuombea ili matibabu anayopata yaweze kumrejeshea nguvu na afya yake.

Nitakapopata taarifa za ziada nitawajuza.
Pole sana dad yangu Heaven on Earth
 
Mungu ampe nafuu haraka na afya yake iimarike inshaAllah maana yy ni mskivu get well soon Heavenonhearth
 
Last edited by a moderator:
Pole sana dada yangu Heaven on Earth kwa kadhia hiyo iliokukuta.. Mie na wifi yako Paloma tunamuomba Mungu akusaidie upate ahueni na kurudi tena kwenye shughuli za kujenga nchi..

Ninategemea Polisi na vyombo vya dola vitafanya uchunguzi na kuwakamata wote waliohusika na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria..

Soso yesterday we were talking about vibaka here!
mimi, wife wangu shansarie na Heaven on Earth afu ndiyo leo tunazisikia hizi habari..
shocked sana!
Mungu amponye haraka..
 
Last edited by a moderator:
Ni vibaka tu au? Maana kuna siku alizinguana na mtu humu na yule jamaa akamwambia anamjua na hadi chuo na kozi aliyosoma pale udsm. Tuanze kumuhoji huyo member kwanza

Naikumbuka hyo siku. The guy alionekana kuwa amemkasirikia sana jinsi ambavyo alivyokuwa anaandika. Nami nimewaza sana kuhusu aliyokuwa anamwambia na kilichotokea. Sitaki kusema kuwa upo uhusiano wa moja kwa moja ila lazma nijiulize. Mungu ampe uponyaji my sweet friend Heaven on Earth
 
Last edited by a moderator:
Huwa inanichukua muda kuamini kitu kama hichi.......Naifanyia uchunguzi hii taaarifa! Naona kama haijajitosheleza (my opinion)
CC Mentor
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom