Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya


Wafukunyuku maarufu wa nyuzi za kale watufukunyulie huo uzi tupate pa kuanzia!
 
Soso yesterday we were talk about vibaka here!
mimi, wife wangu shansarie na Heaven on Earth afu ndiyo leo tunazisikia hizi habari..
shocked sana!
Mungu amponye haraka..

Yeah very bad kiwatengu.. I feel helpless here.. I pray to Almighty God for her quick recovery.. To me this coward action towards my sis justify mob justice to culprits once found..
 
Last edited by a moderator:
Hii tabia ya kuharibu mada, tunaomba ikome mara moja. Tumechoka kusoma upuuzi wenu. Ningekuwa na rungu la umodereta, ningekupiga ban ya maisha.

anza kukoma wewe kwa sababu we ndo mtaalamu wa kuharibu,... hilo rungu lako jipige nalo mwenyewe kwanza
 
Huyo Heaven on Earth atakuwa ameenda kinyuma na matakwa ya Zitto na TeamZitto wakamshughulikia

Mungu akuhurumie bure alikupa akili lakini umeshindwa kuzitumia, amekupa ubongo utumie kufikiri pia umeshindwa kuutumia, pole sana wewe ni mzigo kwa familia yako na Taifa kwa ujumla, bora ungekufa wewe tu Waziri Mgimwa angebakia.
 
Last edited by a moderator:
sasa apo ndo mwenzenu natafakarigi sana.. uzi kama huu mtu anagonga Like.. sielewi maana yake ni nini hasa..! pole majeruhi..!
like can show appreciation/recognize the worthy of the message/post or mleta post....haimaanishi lazima iwe kuufurahia ujumbe/tukio ... kwa mfano ckuwa najua hii habari lakini kuna mtu kani cc,so natambua mchango wake kunihabarisha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…