Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

Wafukunyuku maarufu wa nyuzi za kale watufukunyulie huo uzi tupate pa kuanzia!

Ilikuwa ni kwenye thread ya Yericko Nyerere kuhusu kesi ya ZZK siku ile ya Ijumaa. Sikumbuki ilikuwa page namba ngapi.
 
like can show appreciation/recognize the worthy of the message/post or mleta post....haimaanishi lazima iwe kuufurahia ujumbe/tukio ... kwa mfano ckuwa najua hii habari lakini kuna mtu kani cc,so natambua mchango wake kunihabarisha..

Baelezee maana ye ndo kakrem maana moja tu ya like
 

Aiseee! Pole sana, ila mtuwekee na picha kama itawezekana.
 
My very dada!!!!!!
Mungu akupe ahueni ya haraka!!!!!

Danh sad one,ni kisasi,kukomoana au just "vibaka"!!!!!????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…