Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
Wafukunyuku maarufu wa nyuzi za kale watufukunyulie huo uzi tupate pa kuanzia!
kha!!! never mess with mzabzab...jana alitoa a very cynical comment sasa imekula kwake hahahahahah
like can show appreciation/recognize the worthy of the message/post or mleta post....haimaanishi lazima iwe kuufurahia ujumbe/tukio ... kwa mfano ckuwa najua hii habari lakini kuna mtu kani cc,so natambua mchango wake kunihabarisha..
kha!!! never mess with mzabzab...jana alitoa a very cynical comment sasa imekula kwake hahahahahah
kha!!! never mess with mzabzab...jana alitoa a very cynical comment sasa imekula kwake hahahahahah
Ndugu Jamaa na Marafiki.
Nasikitika kutoa taarifa juu ya madhira aliyokutana nayo dada na ndugu yetu HEAVEN ON EARTH jana usiku.
Akiwa anaelekea nyumbani kwake jana usiku alivamiwa na vibaka/majambazi na kumjeruhi vibaya sana.
Toka alipopatwa na madhira hayo mpaka mchana huu bado hawajeza kuongea, naomba tushirikiane kumuombea ili matibabu anayopata yaweze kumrejeshea nguvu na afya yake.
Nitakapopata taarifa za ziada nitawajuza.
My very dada!!!!!!
Mungu akupe ahueni ya haraka!!!!!
Danh sad one,ni kisasi,kukomoana au just "vibaka"!!!!!????
Mkome kuishi Uswahilini
Why people think that? Kisasi?
Kumbe tunahitaji kuwa makini na komenti zetu?