Heaven on earth, Heaven on earth anastahili pongezi kwa speed yake katika kupost hapa jukwaani

Heaven on earth, Heaven on earth anastahili pongezi kwa speed yake katika kupost hapa jukwaani

Nampendaje huyu mtu,akitajwa roho yangu inaripuka!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hahahaaa.... My wii Heaven on earth kumbe unakimbiza huku daaaah,,,,, hongera zako bana......! Nitakuachia ID yangu na password yangu uwe unanikimbizia huku mwendo wa post tu kwa kwenda mbele......SAWA!!!!!???????

Mbona nimekumiss sana my wii jamani
Lady doctor umenisusa kabisa nyumbani hauji tena kunitembelea nini tatizo
 
Last edited by a moderator:
Mbona nimekumiss sana my wii jamani
Lady doctor umenisusa kabisa nyumbani hauji tena kunitembelea nini tatizo

Heaven on earth ukiona hivyo ujue ameanza kukufitini kwa kaka yake, ooooh unajua mwanamke gani huyu anakunyonya tu damu na mali, hatuoni matunda yoyote, kama vipi achana naye bana kuna wanawake kibao tu wenye uzazi wao; hahahahaha wewe si unajua habari za ma-wifi; hawana urafiki wala uadui wa kudumu; uongo au ukweli bibie Lady doctor
 
Heaven on earth ukiona hivyo ujue ameanza kukufitini kwa kaka yake, ooooh unajua mwanamke gani huyu anakunyonya tu damu na mali, hatuoni matunda yoyote, kama vipi achana naye bana kuna wanawake kibao tu wenye uzazi wao; hahahahaha wewe si unajua habari za ma-wifi; hawana urafiki wala uadui wa kudumu; uongo au ukweli bibie Lady doctor

huyu wifi wangu ni watofauti aiseee.............. Lady doctor kwangu ni zaid ya wifi

sitaki maneno yako mie...........
 
Last edited by a moderator:
jaman mwenzenu Ebelyn salt ananimalza kabisa hasa kule MK duuh nakupenda mama
 
Last edited by a moderator:
jaman mwenzenu Evelyn Salt ananimalza kabisa hasa kule MK duuh nakupenda mama
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom