Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Heaven on earth ukiona hivyo ujue ameanza kukufitini kwa kaka yake, ooooh unajua mwanamke gani huyu anakunyonya tu damu na mali, hatuoni matunda yoyote, kama vipi achana naye bana kuna wanawake kibao tu wenye uzazi wao; hahahahaha wewe si unajua habari za ma-wifi; hawana urafiki wala uadui wa kudumu; uongo au ukweli bibie Lady doctor
hahahaaa wewe Mokoyo wewe umeanza fitna sasa ujue mimi na Heaven on earth tumetoka mbali tangu tukiwa chekechea hatujakutana uwifini tu
Last edited by a moderator: