[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dr wa jalalani, akiwa anapiga lecture class lazima wale wa mbele yake wawe na leso maana si kwa mate Yale.
Huyu ambaye yupo chadema sasa ?
Mzee wa Static & Dynamic ,Late Prof.Ladislaus Lwambuka-CoET enzi hizo
Msemo wake wa siku zote "Even my mother in Bukoba will be able to identify the angle"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa free body diagram!Mzee wa Static & Dynamic ,
R.I.P
Nyie inabidi muwataje waganga wa kienyeji waliowatoa.Hahahahaha!!tulioishia la saba nadhani sio mahala pake,endeleeni kututenga&karibuni mtaani[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Prof. Mtabaji, the only Professor of Physiology in East & Central Africa by then!
Dr. Taarabu
mzee wa 'Cholecalciferooooooool'!
Ni duka la nguo na urembo LA Jacq mtoto wa prof.Afrikasana iko shekilango road kama unaenda Bamaga tokea Sinza Dar.Hiyo Afrikasana Jamstore iko wapi na ana-deal na nini Mkuu? Maana Prof Rutatora wengi tulimkubali sana pamoja na mikwala yake eti mwisho wa mwaka anaenda kupumzika Acapulco Bay
Sent using Jamii Forums mobile app
Husiaribu majina ya wakubwa mkuu mbonile ni jina la kihaya maana yake nimeona
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anaitwa Dr. Innocent John Karamagi ni mwalimu wa uchumi chuo kikuu cha Dar es Salaam.