Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Tarimo Yule ana double cabin flani nyeupe Anaitwa Tarimo AJP kama sikosei.
Alittufundisha principle of agriculture 1st year .

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo tofauti Huyo Ni Tarimo wa Irrigation Engineering,Yule ni Tarimo wa Agronomy (Agriculture is a science_Are you like agriculture or were you all born Kariakoo)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sawa ktk hili, ila linahitaji uzi wake! Huu uzi ni kwa kuwakumbuka waalimu wetu!
 
Mkuu mbona umemexpose Sana Prof msambwa , sio fair najua hauna Nia mbaya sema sawa kusema kakupa............ukeshe nayo , that sounds awkward bro, just edit
Unataka adanganye au? Yeye amesema jinsi anavyomkumbuka mwalimu wake kwa kumuwezesha kufaulu mtihani! Shida hapo ni nini? Kama hayo mwalimu aliyafanya yasiyokuwa mazuri kuyasema hadharani kwa kuwa na -ve consequences basi ni bora wakimu wakajitathmini ili wasiyafanye kabisa! Kama ni mema, tuyataje tu!
 
SEMBUCHE siyo kabisa alishawahi kunipeleka tuta nikachomoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof. Kahimba Fred,Prof. Kihupi,Prof.Mganilwa,Dr.Mwampamba (R.I.P),Dr.Kalugila (mzee wa MTH),Babu Sembuche.
Kuna mwamba mmoja Prof. Mulengera utamuelewa darasani lakini kwenye mitihani yake utatoka jasho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mulengera nadhani kastaafu 2014, 2015 au 2016 akarudi kwao Kigoma ambako ana kama ekari elfu moja pamoja na trekta nyingi and fuso kadhaa. Kaenda kujiajiri hasa kwenye kilimo.
 
Wewe mbona nimepishana sana unatoka Hall5!!

Typed Using KIDOLE
Hall five? Hahaha kama unajua vile nilikuwa siingii vyumba vya wakaka ila hall five alikuwepo rafiki yangu wa tangu shule ya msingi kwa hiyo niliwahi kuingia siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…