Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Ha ha nimeshangaa kuwataja hao jamaa hao jamaa hawafai hata kidogo na Ossoro jr naye hakuna kitu anachofundisha hakieleweki kutishana tu kwa kifupi EC 116 na 126 hazina lecturer walio fair ila EC 117 na 127 wako poa sana
Hahaha kweli kabisaa mkuu ossoro sijawahi kumuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PROF. BABU MSELE (UNIVERSITY OF DODOMA COLLAGE OF INFORMATICS AND VISUAL EDUCATION (CIVE) )
 
Prof Urassa J, K sua, Yahaya Nawanda, Dr. Mbwambo, Mwakapina
 
DR SIASA ISSA MZENZI WA UDSM MZEE BABA AKIKUFUNDISHA AC 100 NA AC 101 FIRST YEAR KULE B.COM YANI HAPA MZEE BABA NDIO UTAJUA NINI MAANA YA MAKABATI YA ACCOUNTS YANI MIE NIMESOMA HGL MPAKA NAMALIZA BCOM 2012 SIKUWAHI KU BALANCE BALANCE SHEET STATEMENT HATA MOJA MPAKA NAMALIZA HADI MASTERS.ILA NIKAJA NIKAGUNDUA KUWA MARKS ZA KWENYE MITIHANI YA ACCOUNTS HUWA ZINAPATIKANA KWENYE ZILE CORRECT ENTRIES.
 
kwa muandiko huu na unachokisema ni sahihi kabisa
 
Maganga udsm mzee wa EF100
asee akikurushia pen unakuja mbele kujibu maswali... Namkumbuka kwa vituko vyake...alifariki mwaka jana nadhani... Mwingine ni Dr manoko botany hiyo udsm hizo scientific names mapka Kichwa kinauma
 
1. Dr Bruce
2. Prof. Samuel Mushi
3. DR. Mohamed Bakari.
4. Dr Kiwanuka
prof Nyirabu mohabe na DK Sansa sitowasahau kwa ukatili wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…