Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Namkumbuka mhadhiri mmoja aliyetumia baadhi ya wanafunzi kumpiga majungu mkuu wa kitivo ili yeye apate hiyo nafasi, alikuja kufanikiwa na hao aliowatumia wakawa watu wake watiifu na walioneemeka kwa kupata maksi za bure . Ingawa alikuja kuondolewa kwenye nafasi yake lakini aliharibu mno kitivo kwa kuwa anagawa maksi kwa watu waliokuwa watiifu kwake, yaani ukijipendekeza tu unakula GPA nzuri. Huyo jamaa ni kati ya watu wa hovyo ( Mungu nisamehe kwa hili) mno niliowahi kutana nao katika historia yangu ya elimu.
ulikuwa hukazi tu mkuu uwezo wako tunaujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R.M. Besha, prof. Livin H. Mosha, school of Architecture and design - Ardhi university, sitokaa niwasahau.. kwa nondo zao wamenifanya niwe who I am today. Ninawashukuru sana. Walikua nondo hatariiii... besha akikufundisha history and theory of architecture, lazma uipende tu architecture,,,, studio ndo usiseme....
Ila asilimia kubwa ya wakufunzi pale Ardhi university wako vzr.
Kile chuo ni bora Kwa ufundishaji na watu wa pale hasa Architecture, interior design,Geomatics,Geoinformatics,EE nk wapo vzr sana practical.

Kwa tz ARDHI UNIVERSITY ni bora pengine kuliko vyuo vyote ingawa majengo yake sio mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Economics department udsm.

Prof Moshi(Development Economist)
Prof Msambichaka(Development Economist)
Prof Rwegasira(Monetary Economist From Havard)
Prof Rutasitara(Macro Economist)
Prof. Ossoro(Econometrics)
Dr. Semboja(industrial economist)
Dr Karamagi(Micro Economist)

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Tuseme ukweli nimejaribu kuona majina yamayotajwa humu ya mabest maprofessor.


Mbona majina mengi ni ya kihaya na yenye asili ya bukoba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ossoro na karamagi hahaha hao hapana.

Mateso waliyotupa ni makubwa.
Economics department udsm.

Prof Moshi(Development Economist)
Prof Msambichaka(Development Economist)
Prof Rwegasira(Monetary Economist From Havard)
Prof Rutasitara(Macro Economist)
Prof. Ossoro(Econometrics)
Dr. Semboja(industrial economist)
Dr Karamagi(Micro Economist)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom