Hebu njooni tutetee kidogo mie nataka ndoa sio kuwa baby mama

Hebu njooni tutetee kidogo mie nataka ndoa sio kuwa baby mama

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
Nauliza swali tu wanaume .

Nani anawaambia kuwa mimi ni wakuzalishwa bila ndoa naninataka kupunguziwa haja na mtu ??

Jueni hili miaka yenu yote mie nilionwa sifai nanyie nikazoeaa . Halafu kila anayeniona naunene wangu mnaniita single mother , eti mshangazi hamuezi kudate na mzee .

Sasa huu mwaka mtu ananisema kuwa nahitaji wanaume wakunipunguzia haja zangu ??
Pm wanakuja watu wananiambia na taka niwe mpenzi wako tuzae tu ila siwezi kukuoa eeh ni akili yenu au ??

Mimi nataka kuolewa ila sio humu . Maana mlishasema kuwa siwavutii .
Wakina best wanawavutia nakuwapa hela .

So mimi sijazaliwa niwe baby mama wenu tafuteni malaya wenu mmoja awazalie nimechoka nawatu wengine nawajua na niwatu naheshima zao.
 
Nauliza swali tu wanaume .

Nani anawaambia kuwa mimi ni wakuzalishwa bila ndoa naninataka kupunguziwa haja na mtu ??

Jueni hili miaka yenu yote mie nilionwa sifai nanyie nikazoeaa . Halafu kila anayeniona naunene wangu mnaniita single mother , eti mshangazi hamuezi kudate na mzee .

Sasa huu mwaka mtu ananisema kuwa nahitaji wanaume wakunipunguzia haja zangu ??
PM WANAKUJA WATU WANANIAMBIA NA TAKA NIWE NAKUMPENZI TUZAE TU ILA SIWEZI KUKUOA EEH NI AKILI YENU AU ??

MIMI NATAKA KUOLEWA ILA SIO HUMU .
MAANA MLISHASEMA KUWA SIWAVUTII .
WAKINA BEST WANAWAVUTIA NAKUWAPA HELA .

SO MIMI SIJAZALIWA NIWE BABY MAMA WENU TAFUTENI MALAYA WENU MMOJA AWAZALIE NIMECHOKA NAWATU WENGINE NAWAJUA NA NIWATU NAHESHIMA ZAO.
Bado hujatupata huwezi kutulazimisha tuoe

Wewe ukipigwa utasema vizuri unaumwa nini
 
@SweetCandy nataka tuzae tu ila mi ni kataa ndoa😊
Screenshot_20250206-184143~2.jpg
 
Nauliza swali tu wanaume .

Nani anawaambia kuwa mimi ni wakuzalishwa bila ndoa naninataka kupunguziwa haja na mtu ??

Jueni hili miaka yenu yote mie nilionwa sifai nanyie nikazoeaa . Halafu kila anayeniona naunene wangu mnaniita single mother , eti mshangazi hamuezi kudate na mzee .

Sasa huu mwaka mtu ananisema kuwa nahitaji wanaume wakunipunguzia haja zangu ??
PM WANAKUJA WATU WANANIAMBIA NA TAKA NIWE MPENZI WAKO TUZAE TU ILA SIWEZI KUKUOA EEH NI AKILI YENU AU ??

MIMI NATAKA KUOLEWA ILA SIO HUMU .
MAANA MLISHASEMA KUWA SIWAVUTII .
WAKINA BEST WANAWAVUTIA NAKUWAPA HELA .

SO MIMI SIJAZALIWA NIWE BABY MAMA WENU TAFUTENI MALAYA WENU MMOJA AWAZALIE NIMECHOKA NAWATU WENGINE NAWAJUA NA NIWATU NAHESHIMA ZAO.
Nani amesema huvutii, na picha hatujaona, weka picha basi sasa unawalalamikia wa huko PM au wote?
 
Wakukuoa nipo hapa ila kwa sharti la kuto zaa tunakula tu uroda mambo ya watoto wanataka ada noo maisha yenyewe mafupi haya hapo hapo tudaiane ada
 
Nimekutumia DM secretly unakuja kunisema huku, si ungenijibu kulekule. Ni nini mbaya?
 
Back
Top Bottom