SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #21
Yes including youmbona umetumia lugha jumuishi kana kwamba wanaume wote wa jf wanatirika pm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes including youmbona umetumia lugha jumuishi kana kwamba wanaume wote wa jf wanatirika pm?
kuna tatizo sehemu si bure hata kidogo!!!??Yes including you
Nataka nikomwe kabisa😁😁😁 binti uko moto kungekua na voice message watu wangekimbia huku
Wewe nawe hunaga stara unaona wanawake wenzako ni mafucking wewe ndio umebeba akili zao ngoja nikuambie jambo mwaka jana ilikuwa mwaka jana sasa mwaka huu mie sitaki nuksi zenu naku ignore tu .ukaona uje utoboe siri?? yan umeosa sifa ya kuwa wife material sababu friji lako haligandishi.
Kabisa libibi lilokosa muelekeoVile wapwa wanakuona baby mama namna hii 😀😀😀😀
Nilidhani huwa naona peke yangu kumbe tupo wengi 😂Mwezi mchanga.
View attachment 3234719
hehehe kimeumana namna hii?? kunywa maji take it easy gal, i was joking sorry kama nimekukera.Wewe nawe hunaga stara unaona wanawake wenzako ni mafucking wewe ndio umebeba akili zao ngoja nikuambie jambo mwaka jana ilikuwa mwaka jana sasa mwaka huu mie sitaki nuksi zenu naku ignore tu .
Nakama nyie mmezoea hii hali sio mie .
Na huyo anayeweka mabango mie ndio nafaa kuzalishwa nikimjua ndio atajua au hajui .
Jingine stres zenu na midomo yenu saivi mtakosa atakaye wajibu 2025 i am not.interested with you and you are group of losers
Nimeshampata sina shida eti ila unakwazika ukionekana hivyooBbbwana akakupe hitaji la moyo wako!!!View attachment 3234751