Hebu njooni tutetee kidogo mie nataka ndoa sio kuwa baby mama

Hebu njooni tutetee kidogo mie nataka ndoa sio kuwa baby mama

Nauliza swali tu wanaume .

Nani anawaambia kuwa mimi ni wakuzalishwa bila ndoa naninataka kupunguziwa haja na mtu ??

Jueni hili miaka yenu yote mie nilionwa sifai nanyie nikazoeaa . Halafu kila anayeniona naunene wangu mnaniita single mother , eti mshangazi hamuezi kudate na mzee .

Sasa huu mwaka mtu ananisema kuwa nahitaji wanaume wakunipunguzia haja zangu ??
Pm wanakuja watu wananiambia na taka niwe mpenzi wako tuzae tu ila siwezi kukuoa eeh ni akili yenu au ??

Mimi nataka kuolewa ila sio humu . Maana mlishasema kuwa siwavutii .
Wakina best wanawavutia nakuwapa hela .

So mimi sijazaliwa niwe baby mama wenu tafuteni malaya wenu mmoja awazalie nimechoka nawatu wengine nawajua na niwatu naheshima zao.
MBona nampenda ndoa sanaaa Hadi mnatutisha ndani ya ndoa mmebeba nn
 
Kuna Binti alinisumbua sana mpaka moyo wangu uliamua kumpotezea sababu nilikuwa nikimwambia natak nikuoe hanasema mda wake bado mara moyo wake una heartbreak na ndoa

Now ananitafuta nmemwambia anisahau kabisa maana nimeshampata mwingne analia na kunilaumu tuuh ingawa yeye ndyo chanzo Cha mim kutafuta mwingne

Huwa kunawakt hamueleweki mnataka nn kwahyo usiwasema wanaotaka kupita tuuuhh

Waache wapunguze upwiru 🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈
 
Nauliza swali tu wanaume .

Nani anawaambia kuwa mimi ni wakuzalishwa bila ndoa naninataka kupunguziwa haja na mtu ??

Jueni hili miaka yenu yote mie nilionwa sifai nanyie nikazoeaa . Halafu kila anayeniona naunene wangu mnaniita single mother , eti mshangazi hamuezi kudate na mzee .

Sasa huu mwaka mtu ananisema kuwa nahitaji wanaume wakunipunguzia haja zangu ??
Pm wanakuja watu wananiambia na taka niwe mpenzi wako tuzae tu ila siwezi kukuoa eeh ni akili yenu au ??

Mimi nataka kuolewa ila sio humu . Maana mlishasema kuwa siwavutii .
Wakina best wanawavutia nakuwapa hela .

So mimi sijazaliwa niwe baby mama wenu tafuteni malaya wenu mmoja awazalie nimechoka nawatu wengine nawajua na niwatu naheshima zao.
 
1000017297.png
 
Nauliza swali tu wanaume .

Nani anawaambia kuwa mimi ni wakuzalishwa bila ndoa naninataka kupunguziwa haja na mtu ??

Jueni hili miaka yenu yote mie nilionwa sifai nanyie nikazoeaa . Halafu kila anayeniona naunene wangu mnaniita single mother , eti mshangazi hamuezi kudate na mzee .

Sasa huu mwaka mtu ananisema kuwa nahitaji wanaume wakunipunguzia haja zangu ??
Pm wanakuja watu wananiambia na taka niwe mpenzi wako tuzae tu ila siwezi kukuoa eeh ni akili yenu au ??

Mimi nataka kuolewa ila sio humu . Maana mlishasema kuwa siwavutii .
Wakina best wanawavutia nakuwapa hela .

So mimi sijazaliwa niwe baby mama wenu tafuteni malaya wenu mmoja awazalie nimechoka nawatu wengine nawajua na niwatu naheshima zao.
Oooh...thick lady!How are you doing,my lady?
 
Mimi nataka kuolewa ila sio humu . Maana mlishasema kuwa siwavutii .
Mbona hili ni jipya kwangu?

Why?

Au kuna ambao tayari wamekuona physically? au ni imagination zao kwamba uko hivi au vile? Au umeshawahi share picha hapa JF? (Maswali ni mengi)
 
Mbona hili ni jipya kwangu?

Why?

Au kuna ambao tayari wamekuona physically? au ni imagination zao kwamba uko hivi au vile? Au umeshawahi share picha hapa JF? (Maswali ni mengi)
I Think this Lady ako na shida mahali kwenye.. Nimepitia nyuzi zake ni kama ana mwezi mchanga sijui
 
Back
Top Bottom