Hebu sikieni ninavyowaza!!

Hebu sikieni ninavyowaza!!

mwanajamiione bana lol!....

nitaongea na kitu PAPA-D aka DAZ akufanyie mpango wa PLUMBING AND ENGINEERING INSTALLATION kutoka pande za keko (tanzania distilariiz) mpaka hapo fairway unapoish
 
:A S 13:ulisema una kaka yako....kwenye post zako za nyuma,sasa kama ulidanganya ujue umesha break heart yangu.....itaniuma sana!!!

nilisema ndiyo ila nimesita,kumbe na ww unamtaka?ntakupa ctaki nikubrek hati tafadhali🙂
 
nilisema ndiyo ila nimesita,kumbe na ww unamtaka?ntakupa ctaki nikubrek hati tafadhali🙂

:wink2::wink2: sasa moyo umetulia.....nashukuru WL,uzidi barikiwa sana.......namsubiri!!!:rain::rain:
 
TANGAZO

namtafuta wiselady kokote aliko.....

hii ni kumjulisha kwamba anipokee kituo cha daladala ngalenaro Leo saa sita kasoro robo usiku

AHSANTENI SANA
 
TANGAZO

namtafuta wiselady kokote aliko.....

hii ni kumjulisha kwamba anipokee kituo cha daladala ngalenaro Leo saa sita kasoro robo usiku

AHSANTENI SANA


Aisee Dogo

Assenga anakuita pale
 
Mwenzenu nilivunjwa moyo miaka miwili iliyopita, Tangu moyo ulivyovunjika nimekuwa nikimuomba Mungu aniponye na nina Imani ameniponya kabisa, manake najiona sina kinyongo, wala uchungu na huyo heart breaker, na ninachomshukuru Mungu zaidi nina furaha na Amani, na maisha yanaendelea vizuri.

Pamoja na hivo ninamshukuru Mungu kwa sababu amenisamehe dhambi niliyokuwa nimeitenda, kwa sababu nilijidai ninampenda sana huyo mtu kuliko hata Mungu, nikampa vyote, nafsi, roho na mwili. Wakati mwingine hata muda wa kwenda kuabudu ulipungua kwa kumpa huyo heart breaker muda mwingi zaidi.

Baada ya tukio hilo,niliamua kujipa likizo ya kumpenda mwanaume, yani nikaziba madirisha yote ya kumkaribisha mwanaume moyoni mwangu.
Siwachukii lakini nimejipa likizo kwa muda wa miaka mitano hivi, na sasa huu ni mwaka wa pili, ina maana bado miaka mitatu.

Je uamuzi wangu wa kujipa likizo ni sahihi?
Najiona ninaweza kuendelea na likizo hadi miaka mitatu iliyobakia iishe, je ni kweli au
naidanganya nafsi yangu.

Angalizo Marufuku kunitania Broken Heart!! Umesikia GY, Asprin, TF, Askofu na Teamo T, bila kumsahau Bigirita. Mjukuu mtiifu umesikia!! na wewe St. RR.
Pataziba......
 
Changamoto katika maisha ni nyingi sana, si ajabu huyo uliye achana naye ni mungu amekuepusha na matatizo ambayo ungeweza kuja kukutana nayo mbeleni, usiteseke kwa sababu umeachana na mwanaume bali fikiria ni maisha ya aina gani yanyoweza kukupa furaha hapa duniani. Kumbuka kupendani ni hisia za ndani za mtu, unaweza ukampenda asiye kupenda au unaweza kupendwa na usiye mpenda. Ni vizuri kujipa likizo ya ku-analyze ulikosea wapi, inawezekana ulimpenda asiye kupenda au vinginevyo. Lakini usijipe kifungu mwenyewe cha miaka mitano ukidhani baada ya hapo utampata umpendae, usipo fakiniwa baada ya 5yrs nadhani utaweza kuwa na wakati mgumu sana. Mimi nakushauri kama una mpango wa kupenda tena basi uliza moyo wako unataka nini then ukimpata uliyeridhika nae tumia taratibu zilizopo kuingia kwenye ndoa halali bila kujali kipengele cha miaka ya likizo.
Note: Usitumie ngono kama silaha ya kumfanya mwaume akuoe au kuimaarisha mahusiano, mwanume atakuoa kama moyo wake umekuridhia. Fanya ngono kama unataka kuburudisha mwili vinginevyo achana nayo.

Nashukuru sana, Umenena vema.
Uwe na wakati wenye baraka siku zote.
 
TANGAZO

namtafuta wiselady kokote aliko.....

hii ni kumjulisha kwamba anipokee kituo cha daladala ngalenaro Leo saa sita kasoro robo usiku

AHSANTENI SANA

hahaha!kama ni ngarenaro sikupokei maana ww ni mgeni wa dogo janja,,lol!muone na babu hapo juu alivyo kauzibe hataki nikupokee!
 
Duuh! mapenzi kitu cha ajabu sana anayefanya kosa mtu mwingine, cha kushangaza anayetendewa kosa anajiingiza mwenyewe kifungoni. Pole sana LD jitoe katika kifungo hicho kwani hukustahili kabisa. Tii kiu yako.

Amen mpendwa, nashukuru, nimefunguka sasa.
 
You see there are many occasions in life when we think we are victims of circumstance, whatever life flings at us we may have no control over, but we DO have control over our response to whatever happens to us.
I could suggest that it isn't TIME that heals, but what actually heals is how we handle that time, and what we do with it. Think about that carefully before you reject the idea completely.

Thanks in Advance!!
 
Ahaaaa ahaaaa LD sitakutania Broken Hearted ila naona ST. LD in the making...........miaka mitano hiyo nafasi unanisubiria mimi nini l.o.l
 
:wink2::wink2: sasa moyo umetulia.....nashukuru WL,uzidi barikiwa sana.......namsubiri!!!:rain::rain:

wifi michelle,,,tutakuwa na dinner ya pamoja na mpenzio mpya leo saa 2 jioni,venue ntakujulisha kwa pm,,,barikiwa sana
 
mwanajamiione bana lol!....

nitaongea na kitu PAPA-D aka DAZ akufanyie mpango wa PLUMBING AND ENGINEERING INSTALLATION kutoka pande za keko (tanzania distilariiz) mpaka hapo fairway unapoish

Utabarikiwa sana teamo maana utakuwa umemwokoa mtumishi wa bwana kama yule msamaria aliyemwokoa mpita njia ......... (I hope huko kwenye kuplumb ndo kunakuwaga na yale matank ya kuhifadhia.........)
 
Ahaaaa ahaaaa LD sitakutania Broken Hearted ila naona ST. LD in the making...........miaka mitano hiyo nafasi unanisubiria mimi nini l.o.l

Mmmmmmh!! Sisemi sana manake!!
Hii signature inamaana sana!!!
 
TANGAZO

namtafuta wiselady kokote aliko.....

hii ni kumjulisha kwamba anipokee kituo cha daladala ngalenaro Leo saa sita kasoro robo usiku

AHSANTENI SANA

Duh hicho kituo jina lake mmmh kwetu matusi

Safari njema mkuu
 
Back
Top Bottom