Hebu sikieni ninavyowaza!!

mwanajamiione bana lol!....

nitaongea na kitu PAPA-D aka DAZ akufanyie mpango wa PLUMBING AND ENGINEERING INSTALLATION kutoka pande za keko (tanzania distilariiz) mpaka hapo fairway unapoish
 
:A S 13:ulisema una kaka yako....kwenye post zako za nyuma,sasa kama ulidanganya ujue umesha break heart yangu.....itaniuma sana!!!

nilisema ndiyo ila nimesita,kumbe na ww unamtaka?ntakupa ctaki nikubrek hati tafadhali🙂
 
Haya bwana....

Kwaherini:hand::hand::hand:
 
nilisema ndiyo ila nimesita,kumbe na ww unamtaka?ntakupa ctaki nikubrek hati tafadhali🙂

:wink2::wink2: sasa moyo umetulia.....nashukuru WL,uzidi barikiwa sana.......namsubiri!!!:rain::rain:
 
TANGAZO

namtafuta wiselady kokote aliko.....

hii ni kumjulisha kwamba anipokee kituo cha daladala ngalenaro Leo saa sita kasoro robo usiku

AHSANTENI SANA
 
TANGAZO

namtafuta wiselady kokote aliko.....

hii ni kumjulisha kwamba anipokee kituo cha daladala ngalenaro Leo saa sita kasoro robo usiku

AHSANTENI SANA


Aisee Dogo

Assenga anakuita pale
 
Pataziba......
 

Nashukuru sana, Umenena vema.
Uwe na wakati wenye baraka siku zote.
 
TANGAZO

namtafuta wiselady kokote aliko.....

hii ni kumjulisha kwamba anipokee kituo cha daladala ngalenaro Leo saa sita kasoro robo usiku

AHSANTENI SANA

hahaha!kama ni ngarenaro sikupokei maana ww ni mgeni wa dogo janja,,lol!muone na babu hapo juu alivyo kauzibe hataki nikupokee!
 
Duuh! mapenzi kitu cha ajabu sana anayefanya kosa mtu mwingine, cha kushangaza anayetendewa kosa anajiingiza mwenyewe kifungoni. Pole sana LD jitoe katika kifungo hicho kwani hukustahili kabisa. Tii kiu yako.

Amen mpendwa, nashukuru, nimefunguka sasa.
 

Thanks in Advance!!
 
Ahaaaa ahaaaa LD sitakutania Broken Hearted ila naona ST. LD in the making...........miaka mitano hiyo nafasi unanisubiria mimi nini l.o.l
 
:wink2::wink2: sasa moyo umetulia.....nashukuru WL,uzidi barikiwa sana.......namsubiri!!!:rain::rain:

wifi michelle,,,tutakuwa na dinner ya pamoja na mpenzio mpya leo saa 2 jioni,venue ntakujulisha kwa pm,,,barikiwa sana
 
mwanajamiione bana lol!....

nitaongea na kitu PAPA-D aka DAZ akufanyie mpango wa PLUMBING AND ENGINEERING INSTALLATION kutoka pande za keko (tanzania distilariiz) mpaka hapo fairway unapoish

Utabarikiwa sana teamo maana utakuwa umemwokoa mtumishi wa bwana kama yule msamaria aliyemwokoa mpita njia ......... (I hope huko kwenye kuplumb ndo kunakuwaga na yale matank ya kuhifadhia.........)
 
Ahaaaa ahaaaa LD sitakutania Broken Hearted ila naona ST. LD in the making...........miaka mitano hiyo nafasi unanisubiria mimi nini l.o.l

Mmmmmmh!! Sisemi sana manake!!
Hii signature inamaana sana!!!
 
TANGAZO

namtafuta wiselady kokote aliko.....

hii ni kumjulisha kwamba anipokee kituo cha daladala ngalenaro Leo saa sita kasoro robo usiku

AHSANTENI SANA

Duh hicho kituo jina lake mmmh kwetu matusi

Safari njema mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…