Hebu sikieni ninavyowaza!!

Hebu sikieni ninavyowaza!!

Babu zingatia nilichokisema.
Zingatia maswali yangu hapo juuuuuuuuuu!!!!!
Babu babuuuuuuuuuu.

Orayt narudi kwenye maswali yako:

Hiyo likizo ya miaka mitano uliyojipa ni ya kumpenda mwanaume mwingine au huyo hatibreka wako?

Tuanze na hilo kwanza.
 
There you are........

Ulikuwa wapi siku zote?
Unajua dawa ya deni ni kulipa?
Unajua deni la babu lina riba?

Turudi kwenye mada:

Huyu LD kwa jinsi anavyoandika ni kuwa bado anampenda sana huyo mtu. Mtu mmeachana miaka miwili huko bado wamkumbuka wadhani masihara? Umesahau sisi wazee tumepitia kwingi?

Kuna mawili:

Huenda LD anaona aibu kumfuata Jamaa (anaogopa kuyarudia matapishi anayoyapenda)

Au amemfuata akakuta jamaa tayari ana ndoa yake na anaiheshimu ndoa yake.

hebu mwambie LD ni lipi kati ya hayo mawili linalomkabili babu amsaidie.

jamaa kaoa na LD hawezi wala hataki kuvuruga mahusiano ya watu,after all walishaachana kitambo....:rain:
 
nitajaribu kumwelewesha binti yangu namna sahihi ya kuishi,muda sahihi wa kujiingiza kwenye mahusiano....na maamuzi sahihi ya kufanya akiwa ndani ya mahusiano

EE MUNGU NISAIDIE

Kabisa Teamo, nashukuru kwa sababu tunapopitia na kusikia haya, tunajua jinsi ya kuwalea na kuwafundisha wapendwa wetu.
 
LD life goes on! it may take five yrs 4 u to settle with someone but don't just sit there counting it, do some filtration on the way!
 
jamaa kaoa na LD hawezi wala hataki kuvuruga mahusiano ya watu,after all walishaachana kitambo....:rain:

Ahaaa...sasa ndio nakielewa kilio cha LD....anatamani mme wa mtu!

Sasa kama kashaoa what the hell is happening here?! Thread looooote hili la nini? Huyu jamaa kama yuko JF atatamba sana asee.

I hereby declare Thread CLOSED!
 
  • Thanks
Reactions: LD
Orayt narudi kwenye maswali yako:

Hiyo likizo ya miaka mitano uliyojipa ni ya kumpenda mwanaume mwingine au huyo hatibreka wako?

Tuanze na hilo kwanza.

Kumpenda mwanaume mwingine, tofauti kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Nije kufanya nini sasa. Sijipendiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!
Wala sitarajiiiiiiii kumkubali mtu aliyeweka tangazo. Najua mwenyewe ni mtu wa jinsi gani naweza kumkubali,hata kama yupo hapa.
Kwa mtaji huo nakushauri umalizie kifungo chako maana katikati hapa si salama kabisa kwako. Tafuta jambo la kukuweka bize na wala si kutafuta ushauri wa kuahirisha kifungo
 
Ahaaa...sasa ndio nakielewa kilio cha LD....anatamani mme wa mtu!

Sasa kama kashaoa what the hell is happening here?! Thread looooote hili la nini? Huyu jamaa kama yuko JF atatamba sana asee.

I hereby declare Thread CLOSED!

Tatizo ninyi Craps hamjanielewa!!!
Zingatia maswali yangu tafadhali, mi naongea likizo ninyi mnaongea mambo mengine.
ASprin, ST rr, na wenzio nieleweni basiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
 
LD life goes on! it may take five yrs 4 u to settle with someone but don't just sit there counting it, do some filtration on the way!

Hope ameiona hii...!
 
Kumpenda mwanaume mwingine, tofauti kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa

Hapo ndipo unapojidanganya
hapo ndipo unatudanganya.

Nani alikudanganya kupenda unaweza kujiwekea time frame? kwamba mi ntampenda mwanaume mwaka 2014? Over My dead Body.....Unacheza na nature wewe!
Hebu nenda kawadanganye wale jirani zako pale Tegeta Primary School..
 
Tatizo ninyi Craps hamjanielewa!!!
Zingatia maswali yangu tafadhali, mi naongea likizo ninyi mnaongea mambo mengine.
ASprin, ST rr, na wenzio nieleweni basiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!

Unaweza jipa likizo ya 10yrs lakini donda lisipone suruhisho tafuta spare tyre tu
 
Tatizo ninyi Craps hamjanielewa!!!
Zingatia maswali yangu tafadhali, mi naongea likizo ninyi mnaongea mambo mengine.
ASprin, ST rr, na wenzio nieleweni basiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!

wamekuelewa LD,wanajaribu kukusaidia......coz in real life its hard!!! they want you to move on and bury the past....you have learnt your lessons!!
 
Kwa mtaji huo nakushauri umalizie kifungo chako maana katikati hapa si salama kabisa kwako. Tafuta jambo la kukuweka bize na wala si kutafuta ushauri wa kuahirisha kifungo

Asante RF, na asante zaidi kwa sababu umenielewa nachotaka/tafuta
 
Tatizo ninyi Craps hamjanielewa!!!
Zingatia maswali yangu tafadhali, mi naongea likizo ninyi mnaongea mambo mengine.
ASprin, ST rr, na wenzio nieleweni basiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
Sio kama hawakuelewi Mshiki, ni kwamba kupenda hakuna time frame!! utakua unajidanganya tu!!
 
Hapo ndipo unapojidanganya
hapo ndipo unatudanganya.

Nani alikudanganya kupenda unaweza kujiwekea time frame? kwamba mi ntampenda mwanaume mwaka 2014? Over My dead Body.....Unacheza na nature wewe!
Hebu nenda kawadanganye wale jirani zako pale Tegeta Primary School..

:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2: :A S 41::A S 41::A S 41:

Hahahahaha usikute tayari anacho kipoozeo au kikata kiu
 
Back
Top Bottom