Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
Hawa ni wanandoa wawili vijana wanaoishi pamoja though hawana mtoto,bwana ni konda kwenye magari makubwa na bibi ni mama wa nyumbani tuu.Sasa soma kidogo moja ya maongezi yao asubuhi moja;
Bibi: naomba hela ya matumizi ya leo,kila kitu kimeisha ndani.
Bwana:mimi sina hela
Bibi:sasa kama huna hela unadhani mimi nitakula nini leo na wewe ukienda kazini unakula hukohuko?
Bwana:nishakwambia sina hela,kama unaona mimi huwa nakula kazini twende na wewe ukale huko kazini.
Bibi:lakini jana umekuja umelewa,sasa kama huna hela hiyo ya kunywea umepata wapi?
Bwana:we mwanamke acha kunisumbua,nitakuchenjia sasa hivi ohooo
Bibi:mi bora unichenjie lakini lazima uniachie hela ya matumizi.
Bwana:we mshenzi kweli,unajua hela inavyotafutwa,SI UENDE UKATO*** HIYO K***A YAKO ILI UPATE HELA YA KULA.
Bibi:anakuwa mpole huku machozi yanamtoka.
Baada ya mume kuondoka kwenda kazini,bibi huku nyuma kweli na yeye akajiremba safari huyo kutafuta pesa kwa njia aliyoambiwa na mumewe.
MY TAKE:
Hivi ndivyo maisha ya ndoa yalivyo jamani?kama watu hamko tayari kuoa kwann uharakie?na kama umemchoka mwenzakao si umuambie ukweli tuu kuliko vituko na dharau zote hizi kwa mwenzio.
Bibi: naomba hela ya matumizi ya leo,kila kitu kimeisha ndani.
Bwana:mimi sina hela
Bibi:sasa kama huna hela unadhani mimi nitakula nini leo na wewe ukienda kazini unakula hukohuko?
Bwana:nishakwambia sina hela,kama unaona mimi huwa nakula kazini twende na wewe ukale huko kazini.
Bibi:lakini jana umekuja umelewa,sasa kama huna hela hiyo ya kunywea umepata wapi?
Bwana:we mwanamke acha kunisumbua,nitakuchenjia sasa hivi ohooo
Bibi:mi bora unichenjie lakini lazima uniachie hela ya matumizi.
Bwana:we mshenzi kweli,unajua hela inavyotafutwa,SI UENDE UKATO*** HIYO K***A YAKO ILI UPATE HELA YA KULA.
Bibi:anakuwa mpole huku machozi yanamtoka.
Baada ya mume kuondoka kwenda kazini,bibi huku nyuma kweli na yeye akajiremba safari huyo kutafuta pesa kwa njia aliyoambiwa na mumewe.
MY TAKE:
Hivi ndivyo maisha ya ndoa yalivyo jamani?kama watu hamko tayari kuoa kwann uharakie?na kama umemchoka mwenzakao si umuambie ukweli tuu kuliko vituko na dharau zote hizi kwa mwenzio.