Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Wewe naona huelewi kabisa!! Unanisimulia theory za katiba. Katiba inasema hivyo nawe unavyoona unapewa haki sawa na ya Tundu Lissu? Unataka Lissu apewe haki sawa na waziri mkuu? Serikali gani duniani inatoa haki kwa mtindo huo? Hukona Kikwete, tezi dume linampeleka US wakati wewe unaambiwa hospitali ya rufaa inakutosha?

Using'ang'anie katiba inasema hivi na vile, angalia uhalisia ukoje kote duniani.
 
Huyo aliyenyoosha ni mtu wa usalama na alikua anamuamuru aingie ndani ya gari.Je kuna sheria inakataza afsa usalama kumnyooshea siraha mkaidi wa amri halali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama afisa usalama anaonyesha kitambulisho kama kweli anachofanya ni halalii... Sasa kitambulisho hataki kuonesha anatoa tu bastola Je kama ndo wale watu wa msumbiji waliomteka MO..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tanzania bhana vituko haviishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu wewe unamawazo ya kibaguzi ya hali ya juu. Haki zangu za kikatiba hazipaswi kuwa tofauti na za Lisu. Tiba za nnje mbona raia kadhaa wanapelekwa nnje kwa tiba. Kuna wanapelekwa India Kenya hata SA. Hii mkuu inanipa picha kuwa ndani ya CCM kuna watu mnatamani mpewe upendeleo kwa ajili ya nafasi mlizonazo ndani ya serekali yenu ama ndani ya chama. CCM mnalea ubaguzi. Na sasa hivi mbaya zaidi mnapanda mbegu za ubaguzi wa kichama, kubagua wanachama wa vyama pinzani.
 
ahahaha mdude chadema huwa ananifrahishaga sanaa
sema ana majibu na vituko sanaa.
hivi bado hajajulikana ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kuchangia ujinga katika mambo magumu kama haya?
mkuu huyu kila siku namwambia hapa. naliiba mitihani na hao wanaomtuma wana akili kama zake tu. hawa na kina sijui magonjwa ya akili mtambuka ni wakupuuzwa tu. hana hata uwezo wa kufikir nje ya ccm na chadema
 
Ben Saanane alitumwa na Mbowe Afrika Kusini, kumbe ilikuwa janja ya kumuuwa ili kuficha wizi wa ruzuku ya chama.

Ni kama Chacha Wangwe tu alichofanyiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi chacha wangwe alifanuyiwa nini? Nijuavyo Mimi ni kwamba alifariki kwa ajali kule gairo akitokea Dodoma kwenda Dar.ina maana tulipigwa changa la macho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto alishaeleza waliomteka Ben na Kumuua ni kina nani,walifatilia kote kuanzia vodacom lakini ushirikiano ulikuwa sifuri mwisho wa siku polisi wazalendo wakamwambia "aisee tumefatilia sie tumeishia hapa na waliomchukua ben ni wazee wa kitengo".

Ukiona tukio kubwa limetokea na hakuna aliyekamatwa na wenye mamlaka wanatoa majibu ya "FUTUHI" wewe endelea kufanya shughuli zako
 
Ungekuwa na hekima usingeandika huu upumbavu wako, wewe ni mpumbavu wa wapumbavu, unayedhani ilivyo leo ndo itakavyokuwa kesho.
 
kila ninapoisoma post hii naichukia ccm na serikali yake
 
Mfalme hakuhusika, hahusiki na vitu vidogo kama hivyo, ni wao kwa wao tu chamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…