Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hatujalaanika. Tujifunze kuzuia kero na siyo kujifunza kutatua kero. Kila kiongozi anayechaguliwa anaongelea utatuzi wa kero kama sifa. Ila haelezi nani muasisi wa kero hizo na namna ya kuzizuia!!!.Uafrika hasa utanzania ni laana.
In abundance of water fools are always thirsty.
Wabongo wame laanika.
Tatizo ni mfumo wa utawala wa CCM! Hakuna kingine. Pia sera ya chama kwanza then maslahi ya Taifa badae ni sera mbovu na ya hovyo kbs!!Shida iko wapi wakuu
Umewahi kuona msafara wa Rais wa Zambia ukilianganisha na wa bibi ushungi?1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.
2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.
3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.
4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.
5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.
6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.
7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.
8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.
9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?
Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.
Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Upewe maua yako mkuuTanzania mambo inayoweza kuyafanya kwa ufanisi na yakakamilika kwa Asilimia 💯 ni
1.Ngono.
2.Ulevi
3.Uongo
4.Chuki
5.Wizi
6.Ufisadi
Haya mambo mtanzania atafanya kwa ukamilifu kabisa pasipo shaka lakini si mambo ya maendeleo ya Taifa
Huku chawa ni wengi kuliko waleta maendeleoZambia,utaifa kwanza, Chama ndiyo kinafuata.Kama wewe ni mzambia na una Sera na mipango mizuri, wananchi wanakupatia uongozi,ulete maendeleo au utimize ahadi zako,usipotimiza wenye nchi wanakushusha chini, ndiyo maana wazambia wanapata maendeleo.
Wizi Tanzania unaanzia juu kushuka chiniUmenena ukweli usio na shaka,yaani mtu anatuhuma za kuiba mitihani ndo waziri,hivi ni vichekesho,Kuna mmoja ni CEO wa kampuni yetu,wanadai alipata zero mtihani wa kidato Cha Nne,lakini Cha kushangaza alipata degree na masters na sasa ni Honorable causa
Sababu ya uongozi mbovu wa CCM na washirika wakeMkuu ungeweka na bei ya Umeme Zambia Tsh 5000 ya Tanzania unapata karibu unit 98 na muda mwingine wanatoa Bonus zinafika 110 unapika kwa kutumia Jiko la umeme na vitu vingine vipo unafika mwezi mzima kwa matumizi wanatushangaa huku kuwa Matumizi ya Umeme kuwa juu kama tupo Hong Kong...wanasema Tanzania maisha yapo ghari sana
75% ya hiyo pesa imepigwa na wajanja wanawaza uchaguzi mkuu 2025Shida ya Tanzania tunakosa viongozi wenye vision, wengi wanawaza matumbo yao mama alimpa makamba Trillion 4 na alikuwa anataka 10. Hakuna alichofanya,
Shida ya nchi hii ni kuwaacha wanasiasa watuongoze. Tunahitaji mapinduzi.1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.
2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.
3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.
4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.
5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.
6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.
7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.
8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.
9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?
Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.
Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Undugu, uchawa, ukada na rushwa ndiyo msingi wa uongozi TanzaniaZambia wana Democrasia ya kweli hakuna kumchagua mtoto wa dada wau rafiki kwenye vyeo lazima wawe mbali Tz siasa,ukanda na undugunaisation vimetuacha ktk janga la kitaifa🤐
Mbona serikali ya Tz inajinadi baadae itauza umeme nje ikiwemo nchi ya zambia1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.
2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.
3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.
4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.
5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.
6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.
7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.
8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.
9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?
Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.
Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Hapo Kwa kweli nchi zingine zipo mbali sana kwenye swala la umemeMkuu ungeweka na bei ya Umeme Zambia Tsh 5000 ya Tanzania unapata karibu unit 98 na muda mwingine wanatoa Bonus zinafika 110 unapika kwa kutumia Jiko la umeme na vitu vingine vipo unafika mwezi mzima kwa matumizi wanatushangaa huku kuwa Matumizi ya Umeme kuwa juu kama tupo Hong Kong...wanasema Tanzania maisha yapo ghari sana