Hebu tuitazame ZESCO ya Zambia na TANESCO ya Tanzania kisha tujiulize what went wrong

Hebu tuitazame ZESCO ya Zambia na TANESCO ya Tanzania kisha tujiulize what went wrong

Wazee wa kutengeza tatizo, na kiligeuza fursa.
 
Huwezi kulinganisha Solar na Bwawa HEP Moja ni consistent unaweza ukaachia unapotaka production nyingine inahitaji storage..; Kinachotakiwa ni Energy Mix na katika Energy Mix hio Bwawa la Nyerere ndio kama Kiungo..., Solar inahitaji Storage na Storage mpaka leo bado ndio bottleneck; Storage ingekuwa rahisi huenda Jangwani wangetuzalishia umeme dunia nzima....

Tanzania tuna uwezo wa kuwauzia Africa nzima umeme tukiondoa Makupe na Serikali ambayo inalifanya hili Shirika kama Kibubu chake cha kujizolea Pesa

Kwenye solar sio lazima battery. Kwani tukitumia mchana silar kuna ubaya gani. Usiku ni taa tu, hii nchi sio ya viwanda umeme asimia kubwa unatumika mchana. Umeme wa grid una battery ? Solar zizalishe umeme uingizwe moja kwa .oja kwenye grid . Hakyna haja ya battery labsa kama kuna uzalushaji uliopindukia.
 
Kwenye solar sio lazima battery. Kwani tukitumia mchana silar kuna ubaya gani. Usiku ni taa tu, hii nchi sio ya viwanda umeme asimia kubwa unatumika mchana.
Unadhani hata mchana ni consistent ? Na vipi hali ya hewa ikibadilika; Umeme ukishazalisha inabidi utumike instantly kwahio kama matumizi ni kiasi fulani alafu mchana una kiasi kikubwa usiku una robo ya hio ni wastage kubwa unaongelea usiku umeme hautumiki vipi watu kupika jioni n.k. kwahio utaona kwamba Grid zote huwa zinahitaji balance ambayo ni consistent
Umeme wa grid una battery ?
Wanazalisha kulingana na capacity wanajua kabisa labda mahitaji ni 8MW kwahio mashine zinakuwa na capacity hio; tofauti hio grid ni consistent na better still HEP inaweza kutumika kama battery kwa kutumia excess ya offpeak kupump maji ili yatumike tena peak times
Solar zizalishe umeme uingizwe moja kwa .oja kwenye grid . Hakyna haja ya battery labsa kama kuna uzalushaji uliopindukia.
Unarudi pale pale solar zizalishe kama uingie moja kwa moja kwenye GRID kama kuna storage sababu matumizi ya kiwa 8MW alafu tuna 7MW mchana solar zikaingiza 30MW hio ni wastage wala haina faida yoyote sababu usiku tutabaki tuna less pili hata mchana sio masaa yote 12 generation ni peak..., Ndio maana nikasema ili kupata faida ya Solar na kila mtu / mtanzania aweze kuzalisha kwa kuwa na Smart Meter tutahitaji Bwawa la Nyerere kutumika kama Battery..... Kama nilivyoelezea hapa kwa Marefu na Mapana....

 
Umenena ukweli usio na shaka, yaani mtu anatuhuma za kuiba mitihani ndo waziri, hivi ni vichekesho, Kuna mmoja ni CEO wa kampuni yetu, wanadai alipata zero mtihani wa kidato Cha Nne, lakini Cha kushangaza alipata degree na masters na sasa ni Honorable causa
Washenzi tu hao.
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Jibu simple tu tatizo ni ccm
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
CCM ni Laana ya Nchi
 
Mkuu ungeweka na bei ya Umeme Zambia Tsh 5000 ya Tanzania unapata karibu unit 98 na muda mwingine wanatoa Bonus zinafika 110 unapika kwa kutumia Jiko la umeme na vitu vingine vipo unafika mwezi mzima kwa matumizi wanatushangaa huku kuwa Matumizi ya Umeme kuwa juu kama tupo Hong Kong...wanasema Tanzania maisha yapo ghari sana

Acha kupotosha….huwezi pata unit 98 kwa 5000…umeme wa 50,000 unapata unit 136.1
 
Tatizo ni serikali ya chama chakavu cha CCM kila mtawala ndani ya hicho chama kwenye nafasi yake anawaza jinsi gani ataiba

Ccm ni pango la Wanyang'anyi hawawezi waza nyazo vipya vya kuzalisha umeme, wanachowaza ni vyanzo vipya vya kufanya ufisadi.

Miaka sitini sasa ya uhuru na tuna mgao mkali wa umeme
Halafu kuna chawa anajitokeza na kuanza kuisifu serikali ambayo inahujumu uchumi wa wananchi wake kwa kusababisha mgao wa umeme.
 
Acha kupotosha….huwezi pata unit 98 kwa 5000…umeme wa 50,000 unapata unit 136.1
Mkuu mimi natumia K 30 ambayo ni sawa na Tsh 5000 napata unit 80 na sizimi fridge na kettle natumia kila siku zinabaki unit 50 natumia kama unit 30 tuu hivi niongee uongo zisaidie nini Zambia life ipo chini sana tofauti na Tanzania nina mtoto nilimsomesha Zambia hataki kurudi Tanzania ni Dr anafanya kazi Nakonde tuu hapo Jirani na Mbeya alipangwa Lusaka akatafuta uhamisho wa hapa karibu akija Tanzania anawaambia ndugu zake waende huko maana life ipo chini sana..
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Shida iko hivi;
1. Tanzania bado wana ile kitu ya kusema wao walishiriki sana ukombozi wa nchi nyingi za Africa.
2. Hawataki kujifunza kwa mataifa ambayo wao walishiriki kusaidia kupata uhuru (wakijifanya wao wako mbele)
3. Wako busy na nani atarithi kiti cha urais baada ya miaka 10.
4. Wako tayari kujifunza kwa walioshindwa na kutolea mifano ( "unajua sisi tuko nafuu kuliko nchi fulani," hayo ndio majibu wanapokuwa wanaulizwa.)

Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
 
Unafahamu kuwa ZESCO ni kampuni ya kichini inayofanya Biashara ya Umeme ZAMBIA?
Unamaanisha nini hapo kwenye bold ink? Je, una maana ZESCO ni kampuni ya Ki - China??

Duuh, you're absolutely a dumbster...!

By the way, if that's the case, then what's the big deal?

Kama Ishu ni "u - China", then kwanini msiwape wa - China hiyo TANESCO kama hiyo ndiyo itakuwa suluhisho la reliable electricity power supply hapa nchini?
 
Unamaanisha nini hapo kwenye bold ink? Je, una maana ZESCO ni kampuni ya Ki - China??

Duuh, you're absolutely a dumbster...!

By the way, if that's the case, then what's the big deal?

Kama Ishu ni "u - China", then kwanini msiwape wa - China hiyo TANESCO kama hiyo ndiyo itakuwa suluhisho la reliable electricity power supply hapa nchini?
Hayupo sahihi Zambia na Zimbabwe wanapata Umeme wa Maji kwa gharama nafuu kutoka Maporomoko ya Victoria Falls na kariba Dam na pia hawana Tozo kwenye kununua Umeme yaani umeme ni bidhaa ambayo Serikali inatoa kwa Wananchi wake kwa gharama nafuu sana sasa hawa wafia Chama wao wapo busy kukataa wakiamini hili swala lipo kisiasa wakati ni mambo ya kitaalamu zaidi...unanunua umeme na Kodi sijui ya Ardhi ipo humo humo utapata Unit za kutosha kweli? Walitamani hata mbio za Mwenge watu wachangie kupitia Umeme subiri Mzee wa Tozo akiiibuka utasikia..
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Hizo akili sio huku kwetu na upigaji aachiwe nani[emoji846]
 
Back
Top Bottom