Hebu tuitazame ZESCO ya Zambia na TANESCO ya Tanzania kisha tujiulize what went wrong

Hebu tuitazame ZESCO ya Zambia na TANESCO ya Tanzania kisha tujiulize what went wrong

1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Kalemani je!?kaendeleza mradi upi?
 
Unapofanya uongo unakuwa unataka kumfurahisha nani na Ili iweje?

Ukiacha miradi ya size ya kati Kuna msululu wa miradi mikubwa ya umeme ambayo itaanza utekelezwaji wake baada ya bwawa kukamilika.

Mfano miradi ya maji mto Ruhudji,

Unaposena sena Serikali Haina Mpango wowote wa vyanzo vinginevyo una maanisha nini?

Yaani Kwa nini unadanganya na Ili iwaje? Kwamba hujui baada ya bwawa kukamilika pesa zitaelwkezwa kwenye kujenga vyanzo vingine vya umeme ambavyo vimeanishwa kama ifuatavyo?

Mto Ruhudji mw 358
Mto Rumakali mw 222
Mto Vikonge mw 321
Mto malagarasi mw 49.5
Mto Kakono mw 87.8
Gas Asilimia Mtwara mw 300
Gas Asilimia Kinyerezi III mw 450
Gas Asilimia Mkuranga& Tegeta 150 mw
Umeme jua 150mw Shinyanga

Hapo sijataja miradi ya joto Ardhi yenye mw 200 .Acheni upotoshaji usio na msingi.

Kam mipango tunayo tangu 1961 ..umeme bado ni changamoto ni dhahiri Kuna kundi linatakiwa kutatua tatizo hili limeshindwa kazi.Mbaya zaidi sekta hii imehusisha ufisadi wa kutisha Kwa kipindi Cha miaka 30 iliyopita ...Ilianza kwa Mkapa wale Makaburu Net Group Solution,ikaja Richmond,mara Downs ,mara Symbion ,Escrow namadudu mengine kibao ...bado tu huoni kuwa Kuna tatizo!
 
Wewe utakuwa ni mbumbumbu,hoja Yako uliyojenga hapo umetolea mfano Zesco ambao 80% ni vyanzo vya maji Sasa sijui unaongea nini.

Pili vyanzo vya Umeme vikiwa vingi ,hakuna tena upungufu utatokea Kwa sababu umeme utakuwa mwingi kuliko matumizi.

Mwisho kwenye Mpango umeona ni vyanzo vya maji pekee au umekurupuka kwa kukosa hoja baada kuumbuliwa? Kima wewe
Wapi nimeandika ZESCO?? hiyo mito 5 kati ya vyanzo hivyo ulivyotaja inatiririsha mkojo wako? upumbavu niliokuambia unao ni kuacha kutumia vyanzo vingine vilivyopo kwa wingi kama coal, jua na upepo na kurudia kutaka kutumia maji wakati tatizo lililopo sasa linatokana na uwepo wa vyanzo vingi vinavyotumia maji..
 
Mkuu ungeweka na bei ya Umeme Zambia Tsh 5000 ya Tanzania unapata karibu unit 98 na muda mwingine wanatoa Bonus zinafika 110 unapika kwa kutumia Jiko la umeme na vitu vingine vipo unafika mwezi mzima kwa matumizi wanatushangaa huku kuwa Matumizi ya Umeme kuwa juu kama tupo Hong Kong...wanasema Tanzania maisha yapo ghari sana
Acha uongo wako wewe ndugu. Hizo sio bei za umeme Tz
 
Unapofanya uongo unakuwa unataka kumfurahisha nani na Ili iweje?

Ukiacha miradi ya size ya kati Kuna msululu wa miradi mikubwa ya umeme ambayo itaanza utekelezwaji wake baada ya bwawa kukamilika.

Mfano miradi ya maji mto Ruhudji,

Unaposena sena Serikali Haina Mpango wowote wa vyanzo vinginevyo una maanisha nini?

Yaani Kwa nini unadanganya na Ili iwaje? Kwamba hujui baada ya bwawa kukamilika pesa zitaelwkezwa kwenye kujenga vyanzo vingine vya umeme ambavyo vimeanishwa kama ifuatavyo?

Mto Ruhudji mw 358
Mto Rumakali mw 222
Mto Vikonge mw 321
Mto malagarasi mw 49.5
Mto Kakono mw 87.8
Gas Asilimia Mtwara mw 300
Gas Asilimia Kinyerezi III mw 450
Gas Asilimia Mkuranga& Tegeta 150 mw
Umeme jua 150mw Shinyanga

Hapo sijataja miradi ya joto Ardhi yenye mw 200 .Acheni upotoshaji usio na msingi.
Mm narudia tena kulalamika kua. Nchi yetu haina dira.wanasiasa wanafanya wanavyotaka, kila Rais anaeshika madalaka anafanya anavyotaka na timu yake.yaani yuko tayali avuruge utalatibu ote wa mtangulizi ili ajinufaishe yeye na kundi lake jipya.
Kipindi kikwete anaingia pamoja kulikua na dosari lakini hakuvuruga mifumo ya mkapa, akaiendeleza ile na yeye akaongezea alipoweza.ila wimbi jipya linaingia na kutukana waliotangulia. ukishafumua mfumo wa mwanzo kufuma mfumo mpya utachukua miaka mingi. Hiki ndicho kinachotuumiza watanzania.
Kwahiyo hata hivyo vyanzo vipya ni hadisi tu.itachukua miaka 50 mbele.na hiyo mito uliotaja itakua ishakauka.
Watu wanasiasa wanakwamisha makusudi baadhi ya miladi ili wajinufaishe wao na familia zao.
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
Inawezekana Zambia iko sayari ya Pluto ambako hakuna ukame kama wasemavyo chawa hawa CM 1774858 Lucas mwashambwa na wenzao kibao.

Hakuna cha ukame wala baba yake ukame!!

Shida ya nchi hii ni ukosefu wa siasa safi na uongozi bora na hivyo kuzaliwa kwa matatizo mengine kama Rushwa, ufisadi, nepotism, Ubinafsi na viongozi kutumia ofisi za umma kujinufausha wao na rafiki na familia zao.

Kubwa na baya zaidi ni kukosekana kwa mipango dhabiti ya namna njema ya kutumia rasrimali za asili na rasrimali fedha za nchi kwa ajili ya manufaa ya watu wote
 
Nadhani Tanzania kuna tamaa ya kufikiria kupata majawabu ya haraka kwenye shida ya muda mrefu.Viongozi (nadhani) wanahisi wakiwekeza kwenye projects lets says miaka mitano mbele wanahisi watachelewa. Matokeo yake vya muda mchache hatuvipati na hivyo vya mbali ni ndoto pia.
 
Inawezekana Zambia iko sayari ya Pluto ambako hakuna ukame kama wasemavyo chawa hawa CM 1774858 Lucas mwashambwa na wenzao kibao.

Hakuna cha ukame wala baba yake ukame!!

Shida ya nchi hii ni ukosefu wa siasa safi na uongozi bora na hivyo kuzaliwa kwa matatizo mengine kama Rushwa, ufisadi, nepotism, Ubinafsi na viongozi kutumia ofisi za umma kujinufausha wao na rafiki na familia zao.

Kubwa na baya zaidi ni kukosekana kwa mipango dhabiti ya namna njema ya kutumia rasrimali za asili na rasrimali fedha za nchi kwa ajili ya manufaa ya watu wote
Unafahamu kuwa ZESCO ni kampuni ya kichini inayofanya Biashara ya Umeme ZAMBIA?
 
Kwanza ukumbuke kwamba Makamba na maharage ni vilaza waliokutanishwa Tanesco na Mama SAMIA, ktk kichwa cha kilaza,jumlisha degree na masters za mchongo LAZIMA jibu liwe ni sifuri.Pili ss Tanzania mpaka dakika hii akili inayotumika kuongoza nchi ni ya vilaza watupu wasio na jipya wala creativity yoyote.Tatu hatujapata nafasi ya kubadilisha chama kuongoza hivyo kupata akili mbadala kwa ajili ya maendeleo.Hayo ndio yanalitesa Taifa nchi imeatamiwa na vilaza na wapumbavu wasio akili ya kujenga nchi.
Mkuu JET SALLI kinachokosekana hapo ni Uzalendo au ufahamu (Elimu ndogo)?
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.

3. Zambia ina watu wasiozidi 20M, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

4. Zesco ama Zambia 80% ya umeme wao ni wa maji, 20% ndio makaa ya mawe, mafuta mazito na thermal. Tanzania 31% ni maji, 50% Gesi na vyanzo vingine.

5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.

6. Zambia ama Zesco watarajia kua na umeme unazidi Megawati 7,000 kwa mwaka 2026 Tanzania bado tutakua na Megawati 3,700 baada ya mwalimu Nyerere.

7. Wakati Wazambia wakibuni na kuendeleza vyanzo vipya vya umeme kama Maji, makaa ya mawe nk. Tanzania haina mradi wa hivi karibuni wa kuzalisha umeme kwa miaka 2 ama 3 ijayo. Kama ipo badi hata kuanza bado.

8. Ukiacha Burundi na Rwanda, hakuna nchi kusini mwa jangwa la sahara ambayo Tanzania inaizidi uwezo wa kuzalisha umeme.

9. Swali, je wakati wenzetu wanaongeza vyanzo vipya vya umeme sisi Tulikua wapi?

Makamba na Maharage kwa miaka 2 wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale Tanesco, kila siku ilikua ni publicity na media coverage, haijawahi kutokea, haijawahi kutokea kwa miaka 2. Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale.

Shida iko wapi wakuu, kama taifa tunakwama wapi?
hivi wewe hali ya tanesco unaijua au unajambajamba tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ungeweka na bei ya Umeme Zambia Tsh 5000 ya Tanzania unapata karibu unit 98 na muda mwingine wanatoa Bonus zinafika 110 unapika kwa kutumia Jiko la umeme na vitu vingine vipo unafika mwezi mzima kwa matumizi wanatushangaa huku kuwa Matumizi ya Umeme kuwa juu kama tupo Hong Kong...wanasema Tanzania maisha yapo ghari sana
acha uongo,weka uhalisia wa bei mimi nimeenda zambia umeme ni ghali na watu wanazima umeme kwa nyakati ili kuzuia gharama isiwe kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikupe nyingine hii ndogo kabisa,,,,,ukiwa tunduma kusaga debe la unga ni tsh 1000 lakini ukienda nakonde zambia debe ni 500,,,,tafsri yake nikwamba wametupiga mara 2 ya gharama,,,,tukiwaambia hii nchi watu wapishe ziingie fikira mpya mnatuletea sera za kisenge eti wapinzani wataleta Vita,,,,,Malawi anaongoza mpinzani,,zambia,,Kenya,, South Africa,,,,nk.......mbona hatuoni Vita????amkeni manyumbu nyinyi tunachelewa
 
Kwanza ukumbuke kwamba Makamba na maharage ni vilaza waliokutanishwa Tanesco na Mama SAMIA, ktk kichwa cha kilaza,jumlisha degree na masters za mchongo LAZIMA jibu liwe ni sifuri.Pili ss Tanzania mpaka dakika hii akili inayotumika kuongoza nchi ni ya vilaza watupu wasio na jipya wala creativity yoyote.Tatu hatujapata nafasi ya kubadilisha chama kuongoza hivyo kupata akili mbadala kwa ajili ya maendeleo.Hayo ndio yanalitesa Taifa nchi imeatamiwa na vilaza na wapumbavu wasio akili ya kujenga nchi.

Mungu Anisamehe ila natamani wote waage dunia ili tuanze upya kama Taifa, kuanzia kule Juu na wote Top layer.
Tunapitia magumu kwa sababu yao.
Kila siku kama Taifa majuto yanaongezeka tu
 
Back
Top Bottom