Hebu tuitazame ZESCO ya Zambia na TANESCO ya Tanzania kisha tujiulize what went wrong

Hebu tuitazame ZESCO ya Zambia na TANESCO ya Tanzania kisha tujiulize what went wrong

Sisi kazi kubwa inayofanywa ni kukinenepesha chama na viongozi, ubinafsi umetangulizwa mbele , watu hawatosheki wameiba sana na bado wanaendelea kuiba utadhani watazikwa nazo
 
Manaake wakati sisi tunawaza kuwaleta IPTL, DOWANS, RICHMOND na Symbion wenzetu wakiwaz kujenga mabwawa ya kuzalisha umeme.
 
Ila mimi sioni umeme wa solar ukiwa utatuzi wa umeme haba! Kutengeneza umeme wa 1 MW unahitaji 2.6 sq km za ardhi! Si umeme sustainable maana hata energy storage technology yake yani battery bado haipo advanced kivile! Kiufupi solar, wind na geothermal power ni miradi ghali ya nchi za Kimagharibi zenye kutoa masoko ya bidhaa zao ndo maana wanatulazimishia!

Tuwe waangalifu kwenye hili maana kama kweli ni utatuzi wa kutoharibu ozone mbona viwanda vya RE visiwepo Africa? Tunapaswa kutumia malighafi nafuu tulizonazo yaani makaa ya Mawe (clean technology ipo), LNG na hydropower.

Kuwekeza kwenye hydropower kunakuza uchumi zaidi yaani multiplying effect kuliko kwenye solarpower. Naomba mjue hilo pia msisahau deni la Zesco!



In short Makamba was a wrong card kuwekwa pale! Alikuwa bingwa wa kuhonga Wabunge mitungi ya gesi wizara yake isihojiwe.
 
Tumesema tatizo la tanesco sio waziri bali TZ inazalisha umeme kidogo usiokidhi mahitaji. Hiyo wizara hata apewe Malaika kama vyanzo ni hivi vilivyopo sasa itamshinda tu. Biteko kapewa jumba bovu litamuangukia nae sooner than later.

Back to Zambia, kama Wana umeme mwingi kiasi hicho kwanini hawauzi nje? Kwanini bado wapo nyuma sana, Zambia haina tofauti na Ileje. Waafrika wote tunafanana.
Nani kukudanganya ulienda Ndola unafikiri Ndio Zambia ile
 
Chande baada aangalie anapata vip umeme yeye anatengeneza urahisi wa wateja kupata umeme

Sasa wapate umeme upi??

2 Mheshimiwa Rais anapofanya teuzi zake basi aangalie pia watu waliosomea jambo husika
Wenye elimu juu ya jambo hilo
Sasa mtu hata maana ya umeme hajui afu unampa kazi hiyo hiyo je tutafanikiwa?
Hebu tuache siasa kwenye maendelea thabiti ya nchi

50-60% ya kazi zote za mwanadamu wa sasa ni umeme
Hivyo nchi inahitaji kuwekeza kwenye umeme!
Tupate umeme wa uhakika afu ndipo tuwaze mengine
 
5. 2024 Zesco watawasha/commissioning umeme wa Solar wa Megawati 2,000 mjini Lusaka, sawa na Bwawa la Mwalimu Nyerere hapa Tanzania. Tanzania tunategemea Bwawa la Mwalimu Nyerere mwaka 2024.
Huwezi kulinganisha Solar na Bwawa HEP Moja ni consistent unaweza ukaachia unapotaka production nyingine inahitaji storage..; Kinachotakiwa ni Energy Mix na katika Energy Mix hio Bwawa la Nyerere ndio kama Kiungo..., Solar inahitaji Storage na Storage mpaka leo bado ndio bottleneck; Storage ingekuwa rahisi huenda Jangwani wangetuzalishia umeme dunia nzima....

Tanzania tuna uwezo wa kuwauzia Africa nzima umeme tukiondoa Makupe na Serikali ambayo inalifanya hili Shirika kama Kibubu chake cha kujizolea Pesa

 
Hata kama huamini ktk mikosi, laana, gundu , kimavi nk ... Likija suala la Tanzania na Maendeleo ya kiuchumi , Kisiasa kijamii ... UNAWEZA KUAMINI , KUEA HAYO MAMBO YAPO!
 
1. Zesco ni shirika la umeme Zambia kama ilivyo TANESCO ya Tanzania.

2. Zesco wana umeme ama wanazalisha umeme unakaribia Megawati 3700 ama 3.7GW huku Tanesco ikizalisha umeme uziozidi megawati 1700.
it is not all roses in Zambia (source: Google search)

What is the energy situation in Zambia?

Zambia has 2,800 megawatts (MW) of installed electricity generation capacity, with 85 percent of the electricity mix derived from hydropower, and 31 percent of the population has access to energy—the majority being in urban areas.28 Mar 2023.

Does Zambia have excess electricity?

Zambia exceeds energy target with 1,156MW electricity generation surplus. Zambian utility ZESCO has announced that the country has achieved an electricity generation surplus of 1,156MW. This is following the successful commissioning of 4x150MW capacity from the 750MW Kafue Gorge Lower Power Station.

How many hours is load shedding in Zambia?


“Zesco Limited will with effect from Wednesday, 4 January 2023 adjust the hours of load shedding to 12 hours daily, until further notice. The Corporation's ability to meet power demand remains constrained by the drastic reduction in available water in the Kariba reservoir for electricity generation…...
 
Zambia inaongozwa kwa misingi ya Imani ya kikristo na uaminifu ni mkubwa sana miongoni mwao
Wameweka elimu na utaalamu mbele ujanja ujanja hakuna
Imani ya kikristo?

Jana umekuja uzi wa waZambia kumuua mTanzania kwa tuhuma za ushirikina
 
Imani ya kikristo?

Jana umekuja uzi wa waZambia kumuua mTanzania kwa tuhuma za ushirikina
Mkuu ni sheria kwao Rais lazima awe mkiristo jamaa Wana uaminifu balaa na wanachukia ujanja ujanja
Kwa bahati mbaya watanzania hatuna sifa nzuri nje Mungu atuepushe na vita sidhani kama Kuna nchi itatupokea
South nilijitambulisha mtz nikala banter za maana nikachange uraia na kuwa mrundi
Malawi nao ni waaminifu
 
Back
Top Bottom