Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe utakubali ushikwe hivyo?
Hakuna tatizo, ila kushikwa tako haiwezekani na haikubaliki.
Kushikwa tako ndo pangewaka moto.Mbona hiyo kawaida😂😂. Si ndio huwa tunakumbatiana hivo tukiwa tumeketi na mmoja kasimama? Tena huwa inasindikizwa na kamlio “mmm mmmhh””
Hebu fafanua zaidiMbona hiyo kawaida😂😂. Si ndio huwa tunakumbatiana hivo tukiwa tumeketi na mmoja kasimama? Tena huwa inasindikizwa na kamlio “mmm mmmhh””
Hii mpaka nikuoneshe kwa mfanoHebu fafanua zaidi
Onesho litakuwa wapi nifanye chap niwaze mambo mengine.Hii mpaka nikuoneshe kwa mfano
Me hapana kwa kweli as long as ushasema MKE/MUME lazima RESPECT iwepo....yanii niwaone hivo alafu yani ni take it easy tu hahaha sinaga huo upumbavu yani kwanza ulianzaje anzaje yan....UKICHEKA NA NYANI UTAVUNA MABUA mazoea hayajawahi kumuacha mtu salama.
Kikubwa maokoto mwili si wake! Kwani unashikwa wewe?
Amezungumziwa mke hapaMbona hiyo kawaida😂😂. Si ndio huwa tunakumbatiana hivo tukiwa tumeketi na mmoja kasimama? Tena huwa inasindikizwa na kamlio “mmm mmmhh””