virginity
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 898
- 970
Tupo wengi.Ni kwangu tu au? Nikitumia JF app picha huwa haifunguki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo wengi.Ni kwangu tu au? Nikitumia JF app picha huwa haifunguki
Hahahahha kwamba sasa hivi hayo mambo mengine yamestop kwanza mpaka onesho litokee😂😂Onesho litakuwa wapi nifanye chap niwaze mambo mengine.
Tatizo ni nini?Tupo wengi.
Wivu sinaaa ila roho inaumaaa beibeee! 😂Mbona hiyo kawaida😂😂. Si ndio huwa tunakumbatiana hivo tukiwa tumeketi na mmoja kasimama? Tena huwa inasindikizwa na kamlio “mmm mmmhh””
Mambo ya Kidhung😋😋
Kwa wote mi hata zile nazotuma mwenyewe hazifungukiNi kwangu tu au? Nikitumia JF app picha huwa haifunguki
DuhHapo na kuloa kaloa🥴
Halafu wako deepWapo kazini jamani
Magonga ndio nini??Wivu sinaaa ila roho inaumaaa beibeee! 😂
Mambo ya mke kuwa na Magonga kuliko mumewe ndio madhara yake haya...
Shekeli, Money, Fedha, Mshiko, Dow, Kibunda, Maokoto, Mkaja, Penenge,Ngawira...call it whatever 😂Magonga ndio nini??
Hiyo kitu ina majina mengi hatari.Shekeli, Money, Fedha, Mshiko, Dow, Kibunda, Maokoto, Mkaja, Penenge,Ngawira...call it whatever 😂
Naaam ndio ndio mpaka kihappen 😂Hahahahha kwamba sasa hivi hayo mambo mengine yamestop kwanza mpaka onesho litokee😂😂