Aguerooooooooooooooooo...!
Niliacha kushabikia mpira kwa muda, ila baadaye machungu yalipoa.
Mechi ya kwanza nafikiri ndio Rooney aliumia ya marudiano akalazimika kuchomwa sindano ili acheze na kwa mchango wake tuliongoza 3 bila hadi apo anaanza kuchechemea ikabidi atolewe bayern wakaamka sasa1. Manchester United 3 Bayern 2
Mechi ya mkondo wa kwanza Wayne Rooney alichomwa sindano ya ganzi ili acheze, tukafa 2 kwa 1.
Mechi ya marudiano Arjen Robben anafunga bao la kikatili sana, hakika niliumia sana.
2. SIMBA SC vs UD SONGO (kwa mkapa)
Daah! Luis Miquesson alikua mwiba sana, nilihisi kutoa machozi
Ilikuwa mechi ya Mtani Jembe, sikuamini siku ile nilijua Simba tunapigwa 5 au 6.....Kuna siku Yanga hadi mapumziko alikua anaongoza goli 3 dhidi ya simba nkajua zile 5 leo zinarudi mechi inaisha 3 tatu, ilinuima sana hii mechi.
Aisee mi niliumia sanaaaIlikuwa mechi ya Mtani Jembe, sikuamini siku ile nilijua Simba tunapigwa 5 au 6.....
Nilifurahi mnooo....
Mimi nilikuwaga mtoto bwana,sijui ilikuwaje,lakini ilikuwa mechi yenye presha,iliyosubiriwa kwa hamu,iliongelewa sana tanzania nzima,ilionekana kama simba atashinda tu,ikizingatiwa ilikuwa ueanja wa nyumbani,ndio maana baada ya kufungwa,watanzania wengi waliumia.Kwamba simba ilikua haifungiki au mpinzani anunue mechi? Sikubaliani na hili.
hahahawe jamaa ni fala sana hujui unashabikia timu gani, nyie ndio kero mpirani🙁
nadhani hii tuliumia afrika nzimaUruguay vs Ghana World Cup 2010. Ilikuwa robo fainali.
hiyo nakumbuka kibanda umiza nipo na blo angu machozi yakimtoka jinsi Arsenal anavyo tafuta mpira kwa tochi ndio ilikuwa mara yake ya mwisho kushabikia washika mitutu, kaka mkubwa mpaka kaenda kaburini hakuwahi shabikia timu yeyote ile 😭 litimu la arsenal lilimpa maumivu kaka yangu shwaini 😠2006 mwaka ulikuwa si sehemu yangu ya kushangilia vikombe..
Arsenal tunakufa fainali ya uefa vs barca
Kisha
France anakufa fainali ya world cup vs italy
Pole ndugu ndio maana hujui hata unashabikia timu gani?hiyo nakumbuka kibanda umiza nipo na blo angu machozi yakimtoka jinsi Arsenal anavyo tafuta mpira kwa tochi ndio ilikuwa mara yake ya mwisho kushabikia washika mitutu, kaka mkubwa mpaka kaenda kaburini hakuwahi shabikia timu yeyote ile 😭 litimu la arsenal lilimpa maumivu kaka yangu shwaini 😠
Balotel anatoa assist Aguerooooo anawapiga Qpr goli la 3,, Qpr wanashuka daraja, Man u wanakosa ubingwaAguerooooooooooooooooo...!
Niliacha kushabikia mpira kwa muda, ila baadaye machungu yalipoa.
Dah! Apumzike kwa amani huko alipo chief..hiyo nakumbuka kibanda umiza nipo na blo angu machozi yakimtoka jinsi Arsenal anavyo tafuta mpira kwa tochi ndio ilikuwa mara yake ya mwisho kushabikia washika mitutu, kaka mkubwa mpaka kaenda kaburini hakuwahi shabikia timu yeyote ile [emoji24] litimu la arsenal lilimpa maumivu kaka yangu shwaini [emoji34]
Simba hawatakuwa na kikosi kikali kama kile. Walikuwa wanagawa dozi si nyumbani si ugenini. Hichi cha sasa ni maneno tuKumbe we mkongwe, Simba alipigwa2-0. Zile Kia zikaota mbawa. Hata hivyo inasemekana hiyo mechi mdhamini mkuu wa Mnyero fc kipindi hicho Azim Dewji aliuza hiyo mechi.
Kuna mashabiki walikuwa wakizimia kabisa.... Ile mechi ilikuwa na msisimko mkubwa sana.....Aisee mi niliumia sanaaa
"Gyan aliwaza kushangila badala ya kupiga penalty " edo kumwembe, nyuma ya pazia.... hahahaha legenal bwanaUruguay vs Ghana World Cup 2010. Ilikuwa robo fainali.
Aaaaaaaaaaaa"Gyan aliwaza kushangila badala ya kupiga penalty " edo kumwembe, nyuma ya pazia.... hahahaha legenal bwana
hahahPole ndugu ndio maana hujui hata unashabikia timu gani?