Hebu tuone kwenye friji lako kuna nini!

Hebu tuone kwenye friji lako kuna nini!

Kwa haya mafriji labda niwe mke wa mwarabu naamka asubuhi kupika tu hadi jioni ila kwa maisha haya ya home kurudi jioni hivyo vitu vitabaki like that for ages!
Au muwe familia ya watu wengi au mnabeba take away mkitoka vinaisha..Mkiwa wachache afu hamshindi nyumbani lazma viharibike
 
Sasa hapo mbona sioni bia hata moja au hako ka wine kamoja tu mkuu.
 
Yaani mpaka nafika page ya tano mafriji niliyoyaona ni mawili tu ya mtoa mada na member mmoja tu, jamani mmeambiwa muweke picha ya mafriji yenu mbona hatuyaoni wakuu!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mafriji ya awamu hii ya tano ni matupu kwanza hayawashwi kila wakati [emoji12][emoji12][emoji12]
halafu ujue kuna baridi sana tunatumia zaidi vitu vya moto.[emoji477]️[emoji477]️

Subiri labda msimu ujao wa joto tutaweka picha za ndani ya friji kwa sasa labda tuweke picha za friji kwa muonekano wa nje [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
ase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""

Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
 
ase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""

Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
 
ase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""

Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
Iyo Roho ni uswahili sana[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom