Ameshaondoka ndio "midundo" ikaanza! hata hivi ninavyojibu comment yako simu inaita hahahahaahah (wimbo wa kamatia chini)Ungemshauri aizime au aitoe sauti kwa utulivu wa ofic.. Wengine wanaishi kwa kukariri Mkuu..
Ameshaondoka ndio "midundo" ikaanza! hata hivi ninavyojibu comment yako simu inaita hahahahaahah (wimbo wa kamatia chini)
tehe tehe tehe ila naogopa hahahaAisee pole.. Msaidie kuizima kabisa.. Atakapokuja utamuambia kiutaratibu kabisa ilikuwa inaleta usumbufu na nia yako ni kuiweka silent bt ikazima kwa bahati mbaya (ingawa umeizima kwa makusudi)..
hahahahah, yaani hii hapa ni kama nina sabufa ofisini hahahahahukute simu yenyewe ni mchina kama ya house girl wangu ina kelele kali utasema mashine ya kukata vyuma
Nahuja wangu pole.tehe tehe tehe ila naogopa hahaha
Si ungecheza upunguze hasiraπAmeshaondoka ndio "midundo" ikaanza! hata hivi ninavyojibu comment yako simu inaita hahahahaahah (wimbo wa kamatia chini)
Kweli kabisaSi ungecheza upunguze hasiraπ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti kamatia chiniAmeshaondoka ndio "midundo" ikaanza! hata hivi ninavyojibu comment yako simu inaita hahahahaahah (wimbo wa kamatia chini)
Sawa nakuja ila ngoja kwanza hasira zangu zitulie maana wamenitibua kwa makele yale. kama unionavyo hapa nimechukia sanaNahuja wangu pole.
Nakuomba uje inbox ni jambo la kukushirikisha tafadhali usipuuzie
hhahahah, ndio hivyo wimbo ulikuwa "kamatia chini x2..." hahahahaah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti kamatia chini
hahahahahahaahahahahaahahKweli kabisa
hahahahahahahaahahIkiita kama ni mchepuko wewe msikilize tu upate kaubuyu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]