Hiyo ni typo au? mbona ukifundishwa huwa huelewi? hiyo ni ticha BANA, UMEKOSEA GRAMA HAPO.
Hiyo ni typo au? mbona ukifundishwa huwa huelewi? hiyo ni ticha BANA, UMEKOSEA GRAMA HAPO.
nope nope....Maty ndio kamshoneshea mariooo suti ya batiki.
nini tena mamie nani amekuudhi......Baba hapendi ujue...kuna mijitu inadhani wengine tumeishilia njoro na sumabwanga au nachingwea, wao waliokwea pipa bac ndio wataalamu mpaka watengeneze maini ya binadamu.....nyoooo.
Kuna jirani yangu alinituma mchele wa Kilombero last month, nilikuwa naelekea huko, sasa jana amenikaribisha rasmi kwa pilau la Idd. Najua utakuwa mchele uleee.......yani kesho naenda na ndizi mbivu kichane kimoja.HA HA HA HA Nyie watu leo sijui mmeishaanza kula pilau la iddi mapema kabla ya iddi yenyewe
hahah hahah haloooooooooooooooooo mwanipa raha mie..
kakosea grama na drama zake?
msemee kwa mwalimu wa mwandiko amchape amchape mpk akome kukosea gramma.
mwalimu mkal uyoooooooooo hatak mafyongo kwenye somo lake la gramma
umekuja fanya nini apa?Salaleee nini tena hapa...........EiD Alhaji waungwana:yield:
achante,Weeee Rose vipi leo?
Halafu wewe, sidhani kama unahitaji mwalimu wa grammer...itabidi nikutafute tufundishane mambo fulani...kwani vineno vyako vizuri sana ila kuvitafuta ukavipata ni kazi si haba!!
Ila usiwe na shaka, raha zako ni muhimu kuliko kila kitu na kila mtu..Usidanganyike.Tusome tusisome wewe pata raha tu!
Maty, Nyamayao (nakupenda ujue) na Rose1980 (hapo kwa Nyamayao nimedanganya).....
Mnadiskas nn hapa....ka kichen pati?
Salaleee nini tena hapa...........EiD Alhaji waungwana:yield:
Nakuja Mwika leo (utaneleza maana ya bing bang na kwa nini unawatisha dig dig)???????????????????????????????????????????????
achante,
we naniii naniiiiiiiiiiiiiii njoooooooooooooooooo njooooo uku wameanza kugo.................maty swetie dont polute yr day
enjoy yr thax beb
eeeehh eeehh mungu wangu
aman ya bwana amaaaaaaaaaaan ya bwana.................ninakupa mkono wa aman .................aman ya bwana
pc pc pc is very crucial....maty ivi una nguo ya sikukuu?mariooooooo alikununulia?
potezea virus.
Maty, Nyamayao (nakupenda ujue) na Rose1980 ( hapo kwa Nyamayao nimedanganya....).
Mnadiskas nn hapa....ka kichen pati?
Kuna jirani yangu alinituma mchele wa Kilombero last month, nilikuwa naelekea huko, sasa jana amenikaribisha rasmi kwa pilau la Idd. Najua utakuwa mchele uleee.......yani kesho naenda na ndizi mbivu kichane kimoja.
Muizraeli wa Gaza stripAu mchaga wa marangu
Please dont even start (napenda kuwa na amani moyoni) hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa i am so happppppppppppppppppppppppppppppppy kupata sanks toka kwa pain killer
nakuja mwika leo (utaneleza maana ya bing bang na kwa nini unawatisha dig dig)
Kuna jirani yangu alinituma mchele wa Kilombero last month, nilikuwa naelekea huko, sasa jana amenikaribisha rasmi kwa pilau la Idd. Najua utakuwa mchele uleee.......yani kesho naenda na ndizi mbivu kichane kimoja.